Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Nchi nzima ya kenya imepata habari mzee ππππ π π π π![]()
Nchi nzima ya kenya imepata habari mzee ππππ π π π π![]()
Kuna kitu umesahau mkuu pale ulipoongelea transport service ya Tanzania.....Tanzania will have 4 CAF standards stadiums for AFCON 2027 mkapa, Aman, Arusha and Dodoma while Kenya will have one renovated Kisirani na UG will have one renovated Nakivubo.
Most teams will be based in Tanzania where opening and final games will be played.
CAF wana vigezo vyao kuhusu hii michezo kwanza muamko wa kupenda football watu wawe na uwezo wa kujaza uwanja ambapo Tanzania has proven that times and time again, pili transport convenience ambapo Tz kuna BRT orderly transport, Tatu Hotels za hadhi ya juu kwa delegates na mashabiki toka sehemu mbalimbali duniani, nne hospital za viwango vya juu katika kutoa huduma, tano shirikisho la mpira liwe active member wa CAF, sita ubora wa ligi husika na ushindani wa hali ya juu kwa club za ndani etc.
Sasa kwa hali hiyo nadhani unaweza uka deduce kuwa opening na finals zitafanyika nchi gani hapa EA.
Yani hii jamaa wataamua waibuke DODOMA kwa joka au waibuke kwa mwewe kΓ zi kwao tu.Kuna kitu umesahau mkuu pale ulipoongelea transport service ya Tanzania.....View attachment 2882458
Mkuu hii Tanzania ni Eden kwa raia wa nchi zingine Afrika, yani watanzania wanaoenda nchi za wenzetu huko lazima wabebe chakula kakaMkuu coodip1 kula diko kama hili hapo kenya ni anasa kaka πππView attachment 2882442ukimuona mtu kenya anakula kama hivi ujue huyo ameshajipata kaka πππ
Ninyi endeleeni kupiga usingizi huku macho yakiwa Tanzania, hata katika afcon mwaka huu jina la kenya halijasikika na halipoTaifa Stars has never won a single game at AFCON π π π π Zero sufuri, hamna nyota la usindi.
Saa 10 jioni unaangalia mpira Benjamin Mkapa mpira ukiisha unakamata BRT toka Mkapa mpaka Dar es salaam Tanzanite Station unakamata nyoka 2.5 hours mpaka Dom kuangalia mechi nyingine ya usiku.Kuna kitu umesahau mkuu pale ulipoongelea transport service ya Tanzania.....View attachment 2882458
some cheap grade 5 riceMkuu coodip1 kula diko kama hili hapo kenya ni anasa kaka πππView attachment 2882442ukimuona mtu kenya anakula kama hivi ujue huyo ameshajipata kaka πππ
That u can't afford πππ the food for middle class Kenyans. No wonder munaandamana kwaajili ya ugalisome cheap grade 5 rice