Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mji wa Serikali (Magufuli City)​


Eneo: Jiji la Dodoma imetenga eneo la mji wa Serikali ambao upo katika Kata ya Ihumwa kilomita 17 kutoka katikati ya Mji. Eneo hili lina ukubwa wa Hekta 617.15 sawa na Ekari 1,542.88.

Mipaka: Mji wa Serikali kwa upande wa mangaribi unapakana na kambi ya Jeshi ya Ihumwa, Kaskazini-Mashariki unapakana na kata ya Mtumba na upande wa Kusini unapakana na barabara kuu iendayo Dar es salaam.

Mgawanyo: Mji wa Serikali umegawanyika katika maeneo tofauti kama ifuatavyo:-

  • Wizara za Serikali,
  • Ofisi za Mabalozi,
  • Nyumba za Serikali,
  • Huduma za Jamii,
  • Maeneo ya biashara,
  • Bunge,
  • Mahakama,
  • Maegesho ya magari,
  • Eneo la majitaka
Ukubwa wake ni sawa na Naipori yote
 
I can clearly see 12 high rise buildings from the picture 😂😂😂 and when completed they will all look like this one 👇View attachment 2882593. Hayo maumivu uliyopata sasahiv tunza before we launch this City.. and guess what? hizo magorofa ya hivyo hapo ni 35-40 U/C.. mana kila leo kuna kuwa na ofisi mpya inahamia hapo. 😂😂 Kwahyo kama umeanza wivu sasahiv unaeza kufa hiyo siku tukipazindua hapo 😂😂😂. Skia hapo tunapazindua mwaka huu 2024
Hi picha itapendeza zaidi joka likitinga Dom 😁
 
Gharama: Gharama za Utekelezaji ujenzi wa Mji wa Serikali: Makadirio ya gharama za kukamilisha Mji wa Serikali ni Dola za Kimarekani 4,788,749,111 sawa na Shilingi za Kitanzania 10,709,176,758,503.
Cost ya Nairobi Global Trade Centre
Ni usd 244,648,316.00.
GTC
Kwa cost hiyo ya usd 4,788,749,111 unaweza uwa na projects 20 za GTC.

WAKENYA MPO?
 
Cost ya Nairobi Global Trade Centre
Ni usd 244,648,316.00.
GTC
Kwa cost hiyo ya usd 4,788,749,111 unaweza uwa na projects 20 za GTC.

WAKENYA MPO?
Simbachawene amesema kuanzia mwaka 2016 taasisi za serikali zisizopungua 65 zilipatiwa vibali vya ujenzi ambapo kati ya hizo taasisi 22 zimeshakamilisha ujenzi wa majengo yao na wamehamia Dodoma na nyingine 16 zipo katika hatua mbalimbali za kukamilisha ujenzi huku taasisi 19 zikiwa zimekamilika. katika hatua za awali ili kuanza kutekeleza miradi yao.

Waziri huyo alisema kati ya taasisi hizo 189 za Serikali, 38 zinatakiwa kuhamia Dodoma katika mwaka wa fedha 2023/2024, huku jumla ya taasisi 19 zikitakiwa kuhamia Dodoma katika mwaka wa fedha 2024/2025.

Pia aliziagiza taasisi 27 ambazo mfumo wake wa uendeshaji unazitaka kubaki Dar es Salaam, hata hivyo, kuhakikisha zinakuwa na ofisi ndogo zenye sifa ya makao makuu Dodoma.
 

Waganda wanasema Air Tz Cargo , B767 300F ni modern na price ni nzuri so possibly itatumika sana , imetoka kushusha mzgo wa madawa na chanjo 49 tonnes na december ilishusha 40 tonnes,.. kwa mwenendo huu Tz should invest more in Cargo planes ..Hasa 767 nyingine au 777F kabisa , only company with strong cargo operations ni Ethiopian na Egypt so the competion ni ndogo sana kwenye Cargo , ikifika muda wa ku service the 767 another 767 should be around to take shifts
 

Waganda wanasema Air Tz Cargo , B767 300F ni modern na price ni nzuri so possibly itatumika sana , imetoka kushusha mzgo wa madawa na chanjo 49 tonnes na december ilishusha 40 tonnes,.. kwa mwenendo huu Tz should invest more in Cargo planes ..Hasa 767 nyingine au 777F kabisa , only company with strong cargo operations ni Ethiopian na Egypt so the competion ni ndogo sana kwenye Cargo , ikifika muda wa ku service the 767 another 767 should be around to take shifts
Nyang'au wakisoma hii habari wanaugua hapo hapo😎😁
 
Waturuki ni wezi tu kumamake zao.. mfanya biashara wa kweli ni Mchina na mkorea tu, hizi jamii za kizungu bado zina ideology za kizamani za unyonyaji tu .. piga ban zote zitatuchelewesha
Ila mturuki ni persian kaka sio mzungu.😂😂😂
 

Waganda wanasema Air Tz Cargo , B767 300F ni modern na price ni nzuri so possibly itatumika sana , imetoka kushusha mzgo wa madawa na chanjo 49 tonnes na december ilishusha 40 tonnes,.. kwa mwenendo huu Tz should invest more in Cargo planes ..Hasa 767 nyingine au 777F kabisa , only company with strong cargo operations ni Ethiopian na Egypt so the competion ni ndogo sana kwenye Cargo , ikifika muda wa ku service the 767 another 767 should be around to take shifts
Ndege iliyonunuliwa cash lazima rates zake zitakuwa chini kuliko zile za ku lease mawazo yangu tuu haya 😁
 
Did you just say Turks are Persians? Truly, the world is coming to an end.
Turks ni persians kuku wewe.
Katika makabila asili ya Ulaya Uturuki haipo.
Uturuki imejiunga Ulaya kimkakati ila kijiografia haiko Ulaya.
Asilimia 68% limeelemea Asia likipakana na Syria.
Asili ya Turkiye ni Turkmenistan wapo waliohama na wapo waliobaki huko Turkmenistan.
Umeona wapi mzungu anatumia Alphabet za kiarabu katika lugha yake??
 
Wacha kuaibisha watu wa kwenu
Kafuatilie persia origin kijana.
Au we unaona Kisa Egypt ipo Afrika Egyptians nao waafrika kiasili??
Katika makabila manne asilia ya Afrika Misri,Morrocco,Tunisia,Libya wapo katika hayo makabila??
ASILIA YA TURKIYE NI UAJEMI KUTOKA TURKMENISTAN.
Ardhi pekee ilioingia uzunguni ni kuanzia Bursa mpaka Istanbul(constantinople) na ardhi zote hizo za wizi zimeporwa kutoka Greek.
 

Mji wa Serikali (Magufuli City)​


Eneo: Jiji la Dodoma imetenga eneo la mji wa Serikali ambao upo katika Kata ya Ihumwa kilomita 17 kutoka katikati ya Mji. Eneo hili lina ukubwa wa Hekta 617.15 sawa na Ekari 1,542.88.

Mipaka: Mji wa Serikali kwa upande wa mangaribi unapakana na kambi ya Jeshi ya Ihumwa, Kaskazini-Mashariki unapakana na kata ya Mtumba na upande wa Kusini unapakana na barabara kuu iendayo Dar es salaam.

Mgawanyo: Mji wa Serikali umegawanyika katika maeneo tofauti kama ifuatavyo:-

  • Wizara za Serikali,
  • Ofisi za Mabalozi,
  • Nyumba za Serikali,
  • Huduma za Jamii,
  • Maeneo ya biashara,
  • Bunge,
  • Mahakama,
  • Maegesho ya magari,
  • Eneo la majitaka
Wapi maeneo ya wazi ? City parks ? Makosa yaleyale miaka nenda Rudi.
 
Turks ni persians kuku wewe.
Katika makabila asili ya Ulaya Uturuki haipo.
Uturuki imejiunga Ulaya kimkakati ila kijiografia haiko Ulaya.
Asilimia 68% limeelemea Asia likipakana na Syria.
Asili ya Turkiye ni Turkmenistan wapo waliohama na wapo waliobaki huko Turkmenistan.
Umeona wapi mzungu anatumia Alohabet za kiarabu katika lugha yake??
Nonesense. Do you know even who Persians are? You want to sound woke and smart but in all totality you are just dumb. Go and do your research then come here with your nonsensical "facts"
 
Back
Top Bottom