Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbwana samatta 32+
Himid mao 32+
Msuva 31+
Mohamed hussein 31+
Mzamiru 33+
Aish Manula 31+

Mpira ulishabadilika kutoka brazilian football na kwenda english football, mpira sasa hvi ni wavijana wadogo from 20 to 28, mpira wa speed, mpira wa akili

Niliuliza ile michango iliyochangishwa imeenda wapi ???
 
Wanga kama wewe ndio mnairoga na Kuombea timu ishinde kisa chuki binafsi Kwa Samia eti credits zitaenda kwake.

Shinyanga Huwa mnatiwa kiberiti
Mpira na uchawi ni vitu tofauti kijana wangu. Mpira unahitaji investment, sio kupigiwa simu na mavikao
 
Mbwana samatta 32+
Himid mao 32+
Msuva 31+
Mohamed hussein 31+
Mzamiru 33+
Aish Manula 31+

Mpira ulishabadilika kutoka brazilian football na kwenda english football, mpira sasa hvi ni wavijana wadogo from 20 to 28, mpira wa speed, mpira wa akili

Niliuliza ile michango iliyochangishwa imeenda wapi ???
Inaendelea kuihudumia Timu.

Pili ni michango ya timu za Taifa sio Taifa Stars pekee
 
Mbwana samatta 32+
Himid mao 32+
Msuva 31+
Mohamed hussein 31+
Mzamiru 33+
Aish Manula 31+

Mpira ulishabadilika kutoka brazilian football na kwenda english football, mpira sasa hvi ni wavijana wadogo from 20 to 28, mpira wa speed, mpira wa akili

Niliuliza ile michango iliyochangishwa imeenda wapi ???
Stop bringing age excuses here. Italy won Euros with the oldest squad in the tournament. Senegal also last won AFCON with the oldest age in the tournament. Tanzania is just shit in every sport.
 
Tuliwafunga goli Wakiwa kamili, mchezaji 1 hana impact kubwa.

Tunahamishia mapambano DRC
Hebu rudia mchezaji mmoja hana impact umesahau alipotoka mchezaji wa taifa stars ikala tatu kutoka kwa moroccco😅😅😅😅

DRC katoa sare na morocco, kitu taifa stars itashinda ni kushinda na njaa tu

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Mbwana samatta 32+
Himid mao 32+
Msuva 31+
Mohamed hussein 31+
Mzamiru 33+
Aish Manula 31+

Mpira ulishabadilika kutoka brazilian football na kwenda english football, mpira sasa hvi ni wavijana wadogo from 20 to 28, mpira wa speed, mpira wa akili

Niliuliza ile michango iliyochangishwa imeenda wapi ???
 
Inaendelea kuihudumia Timu.

Pili ni michango ya timu za Taifa sio Taifa Stars pekee
Zinahudumia kitu gani wakat ni kazi ya serekali na kuna pesa inatoka AFCON ?? Au ww huna ulijualo??😅😅😅😅😅😅
 
Zinahudumia kitu gani wakat ni kazi ya serekali na kuna pesa inatoka AFCON ?? Au ww huna ulijualo??😅😅😅😅😅😅
Serikali ilisema zinahitajika 10bln ,na hiyo michango ni sehemu ya ku source pesa.

Caf wametoa 2.5bln tuu
 
Back
Top Bottom