Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tunatiana Moyo tuu

View: https://www.instagram.com/p/C2Nz74-NjuA/?igsh=MThpZ2RjM2h0eHhxbw==

Hii nchi uwa haina viongozi wenye maono sijui kwanini???

Hivi kujenga football academies walau kila Kanda kwenye nchi hii tunashindwa wapi??? Kama anaweza akanunua goli moja kwa 10M Tsh,anashindwa nini kutafuta wadau wakaleta facilities nzuri ili siku zijazo tuweze kutamba hapa Africa??

Morocco ambao wanatupiga kila siku ni kwa sababu nchi kwao wana Academy za kisasa sana inshort zina hadhi kama za Ulaya tu

Mwambieni huyo Bi'Kidude wenu,Aache porojo za kishamba za kutafuta kuungwa mkono na wana soka wa nchi hii,aboreshe miundombinu ili ball lipigwe la viwango vya juu sana
 
Hii nchi uwa haina viongozi wenye maono sijui kwanini???

Hivi kujenga football academies walau kila Kanda kwenye nchi hii tunashindwa wapi??? Kama anaweza akanunua goli moja kwa 10M Tsh,anashindwa nini kutafuta wadau wakaleta facilities nzuri ili siku zijazo tuweze kutamba hapa Africa??

Morocco ambao wanatupiga kila siku ni kwa sababu nchi kwao wana Academy za kisasa sana inshort zina hadhi kama za Ulaya tu

Mwambieni huyo Bi'Kidude wenu,Aache porojo za kishamba za kutafuta kuungwa mkono na wana soka wa nchi hii,aboreshe miundombinu ili ball lipigwe la viwango vya juu sana
Wanaudhi sana, unadhani wachezaji wa kuokoteza wanaweza kweli kushindana na wenzao waliopikwa vizuri?

Labda michezo sio kipaombele ingawa ni ujinga Kwa sababu Tzn ni Moja ya Taifa la wapenda michezo sana hasa mpira wa miguu,so Kwa nini wasiweke pesa?
 
JWTZ wameweka order za ndege mbili aina ya Leonardo C-27J Spartan transport aircraft.
Vile huwa mnateta tunawacopy
Kenya Air Force C-27J Spartans
1705558056842.jpeg
 
Hii nchi uwa haina viongozi wenye maono sijui kwanini???

Hivi kujenga football academies walau kila Kanda kwenye nchi hii tunashindwa wapi??? Kama anaweza akanunua goli moja kwa 10M Tsh,anashindwa nini kutafuta wadau wakaleta facilities nzuri ili siku zijazo tuweze kutamba hapa Africa??

Morocco ambao wanatupiga kila siku ni kwa sababu nchi kwao wana Academy za kisasa sana inshort zina hadhi kama za Ulaya tu

Mwambieni huyo Bi'Kidude wenu,Aache porojo za kishamba za kutafuta kuungwa mkono na wana soka wa nchi hii,aboreshe miundombinu ili ball lipigwe la viwango vya juu sana
Kweli kabisa vipaji vingi vinakufa, nikiwa shule ya msingi tulikuwa na watoto wanaujua sana mpira kama kina Ronaldinho vile, lakini ndo hivyo mpaka sasa wamezeeka na vipaji vimeenda.
 
Hakuna kitu hapo Bora hata Manyoni.

Ni hivi hata Taiwan haina mgao wa umeme ila haitambuliki kama Nchi na yeyete.

China,Turkiye,Egypt,AU nk inaunga mkono Somalia.Hakuna upumbavu wowote utakubaliwa hiyo ni Somalia full stop.

Hao Ethiopia waende kule Eritrea Kwa ndugu zao waliowashinda ndiko Bandari Yao iliko.

View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1747857600430113222?t=844rAaqWMGhiElQ_UgN7zg&s=19

So unataka kuipangia nchi yenye sheria ina serekali yake ina jeshi ina kila kitu chake??

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… deal lishasainiwa ww ni nani uzuie na unataka kuzuia kama nani??
 
Usisahau kuwa Zambia vs Congo 1-1

Mpaka sasa bado tuna nafasi kubwa sana,tunaweza tukafika hatua ya 16
Bro tusijipe matumaini kwenye hakuna pale hatuna team tuseme ukweli tu hata hio kuingia AFCON sote tunajua tumepita kwa kujunga junga bado tumekaririshwa samatta ni mchezaji wakutegemewa? πŸ˜…πŸ˜…
 
If you don’t shut up I will invite Moroccans to this forumβ€¦πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Even Brazil was beaten by Morocco, who is Tanzania? Msijifariji, Tanzania ndiyo mtetezi wenu na ndiyo maana jana wakenya wote karibu 50+ mlinunua azam bandle to watch Taifa stars ikicheza kule ivory coast.
 
Back
Top Bottom