Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu mpeleke mizigo nchi gani ya maana?
Malawi na Burundi😂😂😂😂
Wewe kima in case you didn't know Tanzania imezungukwa na nchi nane, nchi sita Kati ya hizo ni land locked countries, kwahyo it's the matter of investments kwenye bandari tu, binafsi wala sioni kama Kenya mnaweza kufanya competition na Tz ikiwa kweli tutawekeza kwenye miundombinu there's no way you can match Tz. Sisi tunayo potential. Ningekua kiongozi mkenya sasahiv ningetafuta strategies zingine ili kuendelea kuwa dominant economically kwenye hii region rather than kufanya figisu.. Tz iko na potential ya kuuongeza huu ukanda in so many ways. Geographic location inatubeba .. wewe kima mpuuzi endelea kujipa moyo
 
Wewe kima in case you didn't know Tanzania imezungukwa na nchi nane, nchi sita Kati ya hizo ni land locked countries, kwahyo it's the matter of investments kwenye bandari tu, binafsi wala sioni kama Kenya mnaweza kufanya competition na Tz ikiwa kweli tutawekeza kwenye miundombinu there's no way you can match Tz. Sisi tunayo potential. Ningekua kiongozi mkenya sasahiv ningetafuta strategies zingine ili kuendelea kuwa dominant economically kwenye hii region rather than kufanya figisu.. Tz iko na potential ya kuuongeza huu ukanda in so many ways. Geographic location inatubeba .. wewe kima mpuuzi endelea kujipa moyo
Imagine hii demand ya sasa ya Dar Port kama ingetupata tukiwa tuna berths za kutosha (at least 25-30 berths) + Factional SGR, sasahiv ingekua tunaongea habari nyingine kabisa sasahiv hii maneno ya kaskazini ingekua imeisha zamani sana.
 
Wewe kima in case you didn't know Tanzania imezungukwa na nchi nane, nchi sita Kati ya hizo ni land locked countries, kwahyo it's the matter of investments kwenye bandari tu, binafsi wala sioni kama Kenya mnaweza kufanya competition na Tz ikiwa kweli tutawekeza kwenye miundombinu there's no way you can match Tz. Sisi tunayo potential. Ningekua kiongozi mkenya sasahiv ningetafuta strategies zingine ili kuendelea kuwa dominant economically kwenye hii region rather than kufanya figisu.. Tz iko na potential ya kuuongeza huu ukanda in so many ways. Geographic location inatubeba .. wewe kima mpuuzi endelea kujipa moyo
Ata ziwe nchi 30, izo zote ni Shithole
Maskini
Pelekeni maua na iyo ndege Moja India atleast
 
Ata ziwe nchi 30, izo zote ni Shithole
Maskini
Pelekeni maua na iyo ndege Moja India atleast
Wewe mpumbavu nyie mzigo mnapokea mteja wenu mkubwa ni Uganda na Rwanda wote hawa ni mataifa maskini .. unaongea kama unapokea mizigo ya UK 😂😂😂 Tahira kweli wewe. Mizigo yenyewe tunagawana, ingekua tayari tuko na enough infrastructure we unadhani Uganda aje Kenya naakati Tz ni karibu zaidi.?
 
Back
Top Bottom