Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi tu ndio itapata mizigo,
Atleast itawacha kupack for 3 days 😂
Umeona eenhee...
screenshot_20240118-222707-png.2875886

 
Joburg , Nairobi, Harare, Lagos, Inaweza kwenda middle east Dubai, Sharjah , Muscat , anyways tutaona watachochagua
Wacha ujuaji ushaambiwa cargo inaelekea Europe, Middle East, China na US! Sasa unavyolazimisha ndege za short range sijui akili yako unaifukia wapi?

Air Tanzania cargo jet imezuiwa Ukunyani kwa vile inabeba cargo kubwa at once na ina nonstop intercontinental range! A comperative advantage!

Wacha ujinga aisee hapo Matomboni ulipo! BTW Mr Matindi alishamwomba mama support ya ndege nyingine ya equal size!
 
Aisee sasa vile vi regional jets vitabeba nini sasa au vitakuwa feeder aircrafts 🤣🤣🤣
Hapa inabidi mama aone hii opportunity aagize hata cargo jets mbili za intercontinental range maana biashara ya perishable goods inakua kinoma! Cargo kutoka Tanzania esp. Mwanza na Mbeya ipo on trajectory! Ule mpango wa cold storage Songwe airport vp umefikia wapi?
 
Badala ya kijipa pole wewe mwenyewe unawapa wakenya? Hiyo sgr ya Tanzania ina miaka zaidi ya 6 na bado haifanyi kazi...
Watanzania wengi ni mafala Sana
 
Back
Top Bottom