ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,489
- 88,630
Hapo limekomba maua yoteee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dude limeondoka Kenya limebeba mzigo wa kutosha.
View attachment 2875886
Sikuiona hii.Geza Ulole Zambia imeanza kufanyia kazi ule ushauri wangu kuhusu reli.
Sio lazima.wasikie ila niliweka proposal humu ya kipi kifanyike kuisadia Tazara iwe profitable in long ran.Sikuiona hii.
Kijana wangu, seriously?
Zambia imesikia ushauri wako?? Huo ushauri wameusikiaje??
Joburg , Nairobi, Harare, Lagos, Inaweza kwenda middle east Dubai, Sharjah , Muscat , anyways tutaona watachochaguaMizigo mingi ni intercontinental but between African states sidhani kama tuna mizigo mingi ya kusafirisha kwa ndege.
Intercontinental cargo mostly inayosafirishwa na ndege ni kama medicines electronics, cars etc and most of these have to cone from outside Africa.
BBJ ya rais kweli, kha!Bado boss sijajua plan za mwaka huu apart from Boeing 737 BBJ business jet, kwa ajili ya Rais, plus kumalizia malipo ya ndege hizi zinakuja mwaka huu amabzo ni Max 9 nyingine na 787 1 zote hizi zitakuja karibia na march 24, so tutaona budget ya mwezi wa 7
Reli ni kutoka Mtwara mpaka ziwa Nyasa, kama watataka kuchepusha kwenda Makambako ni sawa.Swala sio Sgr ,ishu ya msingi ni reli ya kuifanya Tazara iwe profitable zaidi.
Pili pamoja na proposal ya kujenga reli kwenda Bandari ya Mpulungu Bado inatakiwa reli inayo cross kwenda DRC na kuungana na Tazara somewhere in Zambia na bila shaka itajengwa miaka ijayo ni Suala la mda tuu.
Mwisho Kwa upande wa Tanzania,hoja zangu ziko pale pale
-Tujenge reli kutoka Makambako Hadi Mtwara
-Mpanda-Kilosa(SGR)
Walishasema freighter nyingine kama hii 767Joburg , Nairobi, Harare, Lagos, Inaweza kwenda middle east Dubai, Sharjah , Muscat , anyways tutaona watachochagua
Hiyo ya Mtwara-MbambaBay Wala Haina shida Kwa sababu inailenga zaidi Mikoa ya Kusini ya Tanzania na Malawi ila Ina bottleneck kubwa ya Ziwa.Reli ni kutoka Mtwara mpaka ziwa Nyasa, kama watataka kuchepusha kwenda Makambako ni sawa.
Haya bwana naona wana upgrade Air Force One 😁Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2023/24 Serikali imepanga kutumia jumla ya Shilingi bilioni 271.00 kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali kwa ajili ya:-i. Kukamilisha malipo ya kimkataba ya ununuzi wa ndege tatu (3) mpya – Ndege moja (1) aina ya Boeing 787-8 Dreamliner na Ndege mbili (2) aina ya Boeing 737-9;223ii. Kufanya malipo ya awali kwa ajili ya ununuzi waNdege mpya aina ya Boeing 737–7 moja (1) na DeHavilland Q400 moja (1);iii. Kugharamia matumizi ya awali ikiwa ni pamoja na uletaji wa Ndege tatu (3) mpya – Ndege moja (1) aina ya Boeing 787-8 Dreamliner na Ndege mbili (2) aina ya Boeing 737-9; gharama za bima; gharama za watalaam wa kukagua na gharama za vipuri muhimu vya ndege; iv. Kufanya ununuzi wa injini moja
Yes sijajua G550 itaenda wapi au zitakuwa zinatumika zote 2
Ati 3 days kwa airport ikiwa imepack juu hakuna cargo 😂!!!Sio ujuaj kwa ninavyyona cargo business operation , kwani unahisi wako wako right always ??? hawezi kupata oipinion nyingie? mbona kuna vitu vingi tu tunaona wamefanya wanakosea . Mbona we uliwahi kutoa opinion yako kuwa wanahitaji dreamliner nyingine walau 4 ,kila mtu ana opinion tofauti, unahisi cargo operation zinaweza fanywa na 767 tu peke yake ? ingekuwa hivyo ingekuwa haipaki ingekuwa haikai hata zaidi ya siku 3 airport ikisubiria mizigo . it is easier to fill 737 800F wheter they see it right or wrong .
Aisee sasa vile vi regional jets vitabeba nini sasa au vitakuwa feeder aircrafts 🤣🤣🤣Hapo limekomba maua yoteee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The weakest team in AFCON. Shooting blanks. 😂 😂 😂
View: https://x.com/OptaJoe/status/1747940648278474815?s=20
Na nyie mnavyo lease hizi ndege ni mahitaji halisi ama ni tenda tuu wanasiasa wajitajirishe hasa ukizingatia madeni ya KQ ni mengi yatokanayo na leasing deals.Ati 3 days kwa airport ikiwa imepack juu hakuna cargo 😂!!!
Mnanunua hizi ndege for business ama ni tenders za wanasiasa wajitajirishe,!!!
Hiyo kama sio Mumbai basi imepeleka maua JapanDude limeondoka Kenya limebeba mzigo wa kutosha.
View attachment 2875886
Nairobi tu ndio itapata mizigo,