Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila wadau twende mbele turudi nyuma hapa kwenye bandari bado tunafeli sana sijui tatizo nini hapa

Mkuu kwenye Dar port haina kufeliii..

Kuna Berth 0 hadi 3 hizo ni uhakika muda wowote na meli hazisubiri zaidi ya 3 days zimeondoka.. Hao ni wa haraka

Hao wa kusubiri maana yake na mzigo wa kuondoka ni mkubwa.. Hawezi Kuja na kuondoka maana ana shehena ya kupakia.. Ukijumlisha muda wa kushusha na kupakia ndo tunapata muda huo..

Na kukiwa na mzigo mwingi wa kupakia meli itasubiri tu hata zaidi ya mwezi maana kuna malipo ya surcharges.. Hakuna hasara... Hizo meli ambazo zina mzigo wa kushusha tu hakuna wa kupakia ndio wanaweza wasisubiri foleni meli ikaenda Mombasa..

Dar port ina mzigo mwingi wa kuingia na kutoka ndio maana Meli nyingi ziko nje kwa foleni kusubiria neema hiyo ya Ku call in Dar port.
 
Safi kama ulaya.

Image
 
Jambo la watanzania kadhaa kupitishia mzigo kenya linaleta picha halisi tofauti na takwimu zinazotolewa na serikali,kama ni kweli tupo more efficient na cheaper than mombasa haina haja ya kupitisha mzigo kenya hapo ndio tunapofeli pamoja na uwekezaji wote tuliofanya katika sekta hii
TPA wametoa sababu wazi kabisa kwamba
-Mwanza Dar Port imeongeza meli nyingi zaidi tofauti na awali

View: https://www.instagram.com/reel/C0dtUH0oQsU/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
-Msimu wa disemba Huwa ni kawaida Kwa Ongezeko Kwa sababu ya sikukuu za mwisho wa mwaka lakini mwaka huu Meli.zimezidi
-Bado dry Port kadhaa hazijakamilika
-DP World ameanza kazi lakini Gati 3 tuu haziwezi kuleta Ufanisi unaotarajia ndio maana Bado wanakamilisha taratibu za Mwekezaji kwenye Gati zingine na wamesema sio DP World nadhani atakuwa Adani Ports wa India.

Mwisho kama taarifa za meli kuongezeka,makasha na shehena ni za kweli then msongamano ni lazima Kwa sababu zilizotolewa hapo Juu at least for some time.

View: https://www.instagram.com/p/C0UDJ8sotZf/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
TPA wametoa sababu wazi kabisa kwamba
-Mwanza Dar Port imeongeza meli nyingi zaidi tofauti na awali

View: https://www.instagram.com/reel/C0dtUH0oQsU/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
-Msimu wa disemba Huwa ni kawaida Kwa Ongezeko Kwa sababu ya sikukuu za mwisho wa mwaka lakini mwaka huu Meli.zimezidi
-Bado dry Port kadhaa hazijakamilika
-DP World ameanza kazi lakini Gati 3 tuu haziwezi kuleta Ufanisi unaotarajia ndio maana Bado wanakamilisha taratibu za Mwekezaji kwenye Gati zingine na wamesema sio DP World nadhani atakuwa Adani Ports wa India.

Mwisho kama taarifa za meli kuongezeka,makasha na shehena ni za kweli then msongamano ni lazima Kwa sababu zilizotolewa hapo Juu at least for some time.

View: https://www.instagram.com/p/C0UDJ8sotZf/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==


View: https://www.instagram.com/p/CzsEXM-Iy9T/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Back
Top Bottom