Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila wadau twende mbele turudi nyuma hapa kwenye bandari bado tunafeli sana sijui tatizo nini hapa

Wala si kwa kihivyo, kama si shallow thinking ya Magufuli iliyomuamuru kupiga teke mradi wa Bagamoyo port saahii tungekuwa tunapeleka baadhi ya meli Bagamoyo!
 
KNBS REPORT 2023

SOURCE: KNBS

GDP GROWTH

1703921506953.png


1703921597741.png
 
Sasa hivi wanafata nguo Tanzania badala ya China. 😂😂😂


View: https://www.instagram.com/reel/C1WbqDXMq2D/?igsh=ZXk0amprcmRtMjc4

Tahmmed kwenye cargo ya zile fuso kwa sasa anafanya biashara kuliko hata buses,mombasa hadi magodoro wananunua TZ,sofa,nguo za kike hasa madera zote wanatoa TZ,fuso za Tahmed kwa siku hata 5 zinatoka pale kkoo ofisini kwao,shida iliyoko TZ tuna viongozi vilaza awaweki data vitu tunavyoexport kunyastan,kwa upande wa nairobi pochi za kike wanakuja kuchukulia TZ,sasa hivi TZ ndio china yao wakunya
 
hata Kiranga naye apigwe ban, asichangie humu, jamaa ni mbishi alafu ni mjuaji kuliko Gezaulole, anajua kila kitu kilicho chini ya jua, alafu anakuambia Mungu hayupo, ukimbishia anakuambia thibitisha. Ni mjinga sn atatuharibia uzi huu.

cc YinYang Moderator Active
mzee baba so mimi nimekuwa SI unit? 😉😉😉
 
Back
Top Bottom