The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Duh we ni fala sana wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣Export to Tanzania
View attachment 2854399
Duh we ni fala sana wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣Export to Tanzania
View attachment 2854399
Mbishi we jamaa kwani yanga kaanza kuingiza point lini? Na nakumbuka Namungo alikua na point nyingi kuzidi Yanga, na si mwaka jana tu Yanga kaingia.kwani kwenye hizo points ni za simba pekee? za yanga hazipo hapo? msimu uliopita Yanga kacheza fainali unaonaje hapo? sasa nasemaje kila mtu ashinde mechi zake, tuone nani mkubwa.
kile ukindacho ndicho utakachonunua sisi ndio tunapenda hizo mdau wewe ni nani utupangie.Haya sasa compare na izo takataka mnauziwa.
It's like heaven and hell.
Kila nchi inanunua bus kulingana na specifications inazohitaj kwa wenzetu wanahitaj bus kama hzo kutokana na condition zao ndio maana unaona most of african bus zinafanana kutokana na africa ilivo, sio nyinyi munaochonga body kwenye chasis za maloriHaya sasa compare na izo takataka mnauziwa.
It's like heaven and hell.
Tunasubiri wapike data kama kawaida. 😂😂😂Kuna jamaa NairobiWalker alidai Mombasa port inapokea few ships kwa vile ina-deal mainly na Post panamax ships kama Lamu port yaani inafanya transhipment!
New Stadium loading in Zanzibar na ndio uta host Afcon 2027 🔥🔥
View: https://www.instagram.com/p/C1XPq3PqAZ6/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
eti namungo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbishi we jamaa kwani yanga kaanza kuingiza point lini? Na nakumbuka Namungo alikua na point nyingi kuzidi Yanga, na si mwaka jana tu Yanga kaingia.
Simba yupo enzi za Aussem, Kishingo, Da Rosa
Haya Boss, unaonekana unaweka Ubishi mbele zaidi, by the way me sio simba niliona unaweka ushabiki zaidi, wakati kiuhalisia ni tofauti.eti namungo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sikia nikuambie nyie watu wa Simba msijifiche kwenye kichaka cha points, kwa sasa tunaangalia performance ya timu, hayo mambo ya points sijui kuingiza timu nyingi cafcl ilikuwa lazima iwe hivyo kutokana na investment iliyofanyika kwenye ligi, wala sio Yanga au Simba, kwasasa nasema kila mtu ashinde mechi zake, hatutaki mambo ya historia, kama historia Yanga ana historia kubwa kuliko timu zote Tanzania.