Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,792
Traffic jam in Dar port is because of inefficiency. How can a single ship last 16 days to be offloaded? Isn't that not inefficiency?Traffic jam in Dar port due to increased trade and not otherwise. According to WB Dar port is ahead of Mombasa, Beira and Durban in efficiency sasa sijui mnaongelea efficiency gani hapa.
SikuelewiHivi wajinga wa mwisho ndio wale wa mwisho kwa ujinga hivyo wanakaribia ujanja? Au ndiyo wa mwisho kabisa wako mbali kabisa na ujanja?
Kwa nini unasema hivyo mkuu? Mimi muda wote niko radhi kujifunza kutoka kwenye ujinga wangu.
Hebu nieleweshe nipate darasa hapa.
Usiishie kufanya ad hominem attack kutoka kwenye hoja kumshambulia mtoa hoja.
Hiyo ni alama ya mtu asiye na hoja.
Wacha kutaka ku ignore ukweli wewe kima, msururu wa meli DAR port unatokana na kuongezeka kwa biashara that's the fact number 1.. Demand imekua kubwa, na ikitokea tutaongeza miundombinu it's clear that sisi ndio tutakua giants hiyo sector.. wakati tuki record number ndogo za mizigo zenye we handled those years uliwahi ona hio misururu ya meli pia.? 🤣🤣🤣 Kubali ukweli tuliza kinyeo, subiri takwimu za DAR port 2023.Traffic jam in Dar port is because of inefficiency. How can a single ship last 16 days to be offloaded? Isn't that not inefficiency?
Cargo tonnage in Dar port hata haitafika 18M while in Mombasa it's already 33M.Wacha kutaka ku ignore ukweli wewe kima, msururu wa meli DAR port unatokana na kuongezeka kwa biashara that's the fact number 1.. Demand imekua kubwa, na ikitokea tutaongeza miundombinu it's clear that sisi ndio tutakua giants hiyo sector.. wakati tuki record number ndogo za mizigo zenye we handled those years uliwahi ona hio misururu ya meli pia.? 🤣🤣🤣 Kubali ukweli tuliza kinyeo, subiri takwimu za DAR port 2023.
Hunielewi nini? Be specific please.Sikuelewi
We nilikwisha kwambia akili aunaTraffic jam in Dar port is because of inefficiency. How can a single ship last 16 days to be offloaded? Isn't that not inefficiency?
Container traffic at Dar port is still at 600k while Mombasa is 1.6M
View: https://twitter.com/Kenya_Ports/status/1740717066154586421?s=19
Kiranga unataka nini weweHunielewi nini? Be specific please.
Mimi sikuelewi hunielewi nini.
Mimi ndiye nikuulize wewe, wewe ndiye umeninukuu mimi.Kiranga unataka nini wewe
Container traffic at Dar port is still at 600k while Mombasa is 1.6M
View: https://twitter.com/Kenya_Ports/status/1740717066154586421?s=19
Amia kenyaMimi ndiye nikuulize wewe, wewe ndiye umeninukuu mimi.
Unataka nini?
Yes you do. Anyone who's been to Dar and Nairobi can attest to that. You have waaay more blackouts than Kenya. Your blackouts never even get to be talked about because they're so normal.Hell no! ati we have more blackouts than Kunyaland!