Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,118
- 17,848
Utaelewaje walichosema wakati kiingereza hukielewi?kwahio wizara yenu na viongozi wenu hawana akili kwa wakisemacho au sio.
Utaelewaje walichosema wakati kiingereza hukielewi?kwahio wizara yenu na viongozi wenu hawana akili kwa wakisemacho au sio.
Maumivu zako peleka TandaleMust be a spire what else. You are fond of them they help prop up the height of your buildings 🤣🤣🤣
Ndio maana amesema built in Kenya. Hajasema made in KenyaEnglish inaelekea ni janga la taifa huko kwenu. Lini mmeanza kutengeneza scania nyie kima?
Aliyewakataza kuzibroaden hapo Arusha ni nani? Why did they choose to do it Kenya and not Tanzania? Tafakari hayoHapa tunaongelea hq issue ya hizo cruisers kuwa broaden/extended it doesn’t matter it can be done in Arusha na mletewe kwa show room just like any other dealer!
Hawajui tofauti ya built and made.Ndio maana amesema built in Kenya. Hajasema made in Kenya
Hiyo ndio stendi yenu huko unyang'auni? Duh😎EasyCoach
View attachment 2838042
Sasa Tz utaifananisha na Kenya kwenye purchasing power? Mm huku mtaani huwa tunatumia neno Kenya au Ethiopia kama njaa, yani mtu akikuuliza 'oyaa vipi mwanangu una jero apo' ukimjibu 'kama Kenya mwanangu' au 'kama Ethiopia mwanangu' manaake hana kitu yani njaa tu.Your purchasing power ndio Iko chini. You like cheap and fake items. Jumia ilitoka Tz cause mlizoea kununua bidhaa kwa vibanda.
Itafungwa kwasababu watz hatutumii vitu vya wageni hususan waafrika, hatuwaamini labda vya wazungu, wahindi au wachina ila sio vya waafrika.🤣🤣🤣 Itafungwa mara moja
Naiona apo Numero uno yn number one.
Ugali na mkate ni sawa? Nyinyi mnaandamana kisa unga wa ugali just imagine na upo hapa unapanua mdomo wako unaonuka unabishana na watz wanaojitosheleza🤣🤣🤣🤣🤣🤣Even France people demonstrating because of "bread "
Who is Payu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣There are only 3 e-commerce giants in Sub-Sahara Africa.
![]()
Nakubaliana na wewe na tulijua mapema kwamba marefa wamehongwa, marefa wa kiafrika ni takataka. Kwanza mm nilikuwa sifatilii kabisa mpira wa kiafrika nmeanza kufatilia baada ya timu zetu kuwa zinafanya vizuri kimataifa.Yule line 2 alikuwa ametumwa kuingamiza yanga.Kuna matukio matatu against Yanga. Alipeta ofiside ya mchezaji wa medeama maksudi,aliona ule mchezo hatari aliochezewa kibabage angeweza mshauri refa wa Kati kuwa ile ilikuwa straight red card,akarule out kuwa la kibabage ofside wakati ni halali.
Na ndio maana Tz kuna life expectancy kubwa kuliko Kenya thus y tunakula vitu OG.Show us the international brands I have mentioned above, local e-commerce shops Kenya ziko in thousands. Tuonyeshe international brands.
,🤣🤣🤣🤣
Lakini kwenye official webpage yao wamesema Kenya ni dealers tuHizo land cruiser ziko assembled and fabricated in Kenya. Bongolalas are always in denial. 😂 😂 😂
What is the meaning of this ? Kindly clarifyHazijafanywa Arusha that's why imeandikwa proudly produced in Kenya. Ama siku hizi Arusha Iko Kenya? 😂😂😂
View attachment 2838027