Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

we kenge ni gari ama bod mbona mnakuwa hewa hivyo jibuni mnatengeneza gari ama bod?
Thank you Uganda. Also delivered this month by Master.

1702144563681.jpg
1702144520252.jpg
 
I am talking about bus make earlier you said you make buses in Kenya sasa sijawahi ona make ya Gemilang.

On the pictures hiyo ni make ya Scania au unabisha?
Mkuu mpotezee hawezi kujibu 😂😂😂😂😂
 
Wewe kima unajua Tz tumeanza lini kutumia huduma za serikali kimtandao.? 🤣🤣🤣
Unajua hawa jamaa huwa ni viazi sana , siku moja nikampeleka jamaa yangu mmoja toka huko ukunyani pale kcb mlimani city, akachungulia mle crdb akaona kuna watu ,
Akasema in Kenya we now have bank apps so no one visits banks like this ,
Sasa nikiangalia mwenyewe tu hapa Nina apps 3 za bank tofauti ila sometimes inalazimu niingie bank nipange foleni,
Nikamwambia tu Congratulations,
Yaani jamaa anaamini mambo ya digital transformation yapo huko ukunyani tu, mambo ambayo sisi tulishayafanya kitambo tena bila hata hype kwao ni Habari haswa. Ushamba mzigo.
 
Wivu😂😂😂.

Hata baiskeli hamjui kutengeza 😂

Another one for Uganda.
View attachment 2837913
kwahio bodi hatutengenezi si ndio vipi zile gari za watalii land cruser nani anaunga ziwe ndefu hao mnaowahusudu walichukua wakapeleka kiwandani wakairefusha na bado ikakatika only chugastan ama arusha tanzania ndio wanaweza hiyo habari ulishhaona tunajitapa hapa?
 
Hata sitamani kufika Tz juu mtaniroga. Nchi ya uchawi siezienda.
kwetu na kwenu ni kina nani wanakuwa kwa media eti watu wagandiana wakisex au hio hutokea nchi gani vile haya wezi kutokewa na nyuki mikononi ama ni maombi ya pastor ama ni uchawi wenu.
 
kwahio bodi hattengenezi si ndio vipi zile gari za watalii land cruser nani anaunga ziwe ndefu hao mnaowahusudu walichukua wakapeleka kiwandani wakairefusha na bado ikakatika only chugastan ama arusha tanzania ndio wanaweza hiyo habari ulishhaona tunajitapa hapa?
Hizo gari zinatengenezwa Kenya. Ama unataka nikuonyeshe their factory?
 
Back
Top Bottom