Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Mzee bidhaa za kenya zitapotea kabisa anytime soon, mana uni liver ndio walikua wanasumbua, saivi naona kila baada ya miezi miwili wanafanya marketing campaigns za bidhaa zao. 🤣🤣ile sabuni yao ya jamaa imempata mwarobain sokoni anaitwa malaika anatokea zanzibar na sabuni nyingine kibao sasa jamaa sokoni ni chaguo la nne kwa mteja.