ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mm siongelei mambo ya chalamila naongelea waziri kwenda kushuhudia utiaj saini wa 7km hii hapana kwakweli 😅😅😅😅Unatakaje? Au Chalamila ndo mtu serious kwako? Mimi naona yuko njia sahihi kuwa-push makandarasi wa kichina kuja na mipangokazi ya kumalizia miradi yao iliyochelewa!
Kitu ya kufanywa hata na katibu mkuu wa wizara au hata mkuu wa wilaya