Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,701
- 107,146
Mbona unaogopa kuonyesha stendi za huko unyan’gauni. Kila siku mabasi yapo barabarani tu?😎This bus is only available in two countries south of Equator.
South Africa
View attachment 2831839
Kenya
View attachment 2831840
tutakuwa urusi huko mbeleni wasijisahau lazima ndugu zetu warudi majimbo ya walowezi wa kitanzania tutayarudisha.Kwa hiyo nyie ma nyang'au mnajitoa kwenye Kiswahili?? Itakuwa vizuri sana! Mtuachie Kiswahili chetu, msikiongee, mkipige marufuku huko kwenu na msisahau kuturudishia Mombasa yetu. Msije kututesea ndugu zetu.
ndo mlichobakisha?This bus is only available in two countries south of Equator.
South Africa
View attachment 2831839
Kenya
View attachment 2831840
Nilisema wakundustan wakijua nusu tu ya miradi inayoendelea Tanzania kwa sasa wangeandamana mwezi mzima kuiondoa serikali yao madarakani, sasa mnajionea yanayoendelea EA on social media baada ya kuona tunatest mitambo 😂😂😂
Wakenya ni watu wenye wivu na roho mbaya sana na wao hufikiri tanzania ndio mhasimu wao mkubwa kumbe wanasahau mchawi wao ni umaskini na njaa😁😁😁Unajiuliza hapo kuna nini kichwani mwao, eti kuna mwingine alisema Kenya is 30 year ahead of Tanzania, whatever in Tanzania is already in Kenya, akatandikwa swali BRT ipo tuanzie hapo, hukuonekana tena.
Kuna wajinga waliichukua Tren ya mkoloni wakaanza kusema TZ tuko nyumaa mara Garimoshi lao liko 30 year ahead, unajiuliza vipi, hawajui kwamba sisi zamani tuliona reli ya mkoloni inasumbua tukaanza on scratch na ELECTRIC SGR njia ile ileee.
Alafu hapo mpumbavu kasema Already in Kenya, hua najiuliza kuna tatizo gani vichwani mwao.
Mkunya huwa akubali kushindwa siku zote atatafuta any excuse aonekane mbabe 🤓🤓🤓Wakenya ni watu wenye wivu na roho mbaya sana na wao hufikiri tanzania ndio mhasimu wao mkubwa kumbe wanasahau mchawi wao ni umaskini na njaa😁😁😁
Ni watu ambao hawana sana exposure ya nchi za africa wao kitu hudhani kwamba wako level sawa na finland au singapore sasa wanashtuka leo kumekucha wanatafuta shuka, endeleeni kuwazoea ni watu waliochanganyikiwa sana sasa hvi ndio maana haoni tabu kuongea pumba yoyote