ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwani ww hupendi ukweli uzungumzwe au ww unafkiri watanzania wote wanaakili kama zako,Kwa hiyo umeungana na Wakunya kuichafua Nchi kisa chuki Kwa Samia au? 🤣🤣🤣🤣
Ila we Jamaa unatia huruma sana saizi
Tuliambiwa mgao wa umeme chanzo ni mabwawa kupungua maji sasa hvi mvua inachapa kisawasawa dailypaka maji yanakosa njia ya kwenda sasa huo mgao wa umeme unatokana na nn??
Akili inakaa kumkichwa 😅😅😅😅😅