Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie Geza Ulole na ChoiceVariable, hivi hii serikali mnayoisifia inatafuta wawekezaji na watalii, ilishindwa nini kutumia fursa ya mechi ya Simba na Al Ahly kuitangaza nchi yetu, ikamwachia Kagame aitumie aitangaza Rwanda?
Kagame alishawahi huko mapema akachukua rights but kitendo Cha Mechi kuchezewa Tanzania ni tangazo tosha kuliko kuvaa fulana za visit Rwanda.
 
Kagame alishawahi huko mapema akachukua rights but kitendo Cha Mechi kuchezewa Tanzania ni tangazo tosha kuliko kuvaa fulana za visit Rwanda.
Kubalini mmejaza vilaza na wababaishaji serikalini, mnapokutana na wenye akili mnazidiwa.. Watu kujua Tanzania kuna mechi ni kitu kimoja lakini kujua mlima kilimanjaro uko Tanzania ni kitu kingine.
 
Kwahiyo kutangaza dk 90 ni bora kuliko campaign ya Royal Tour?
Mechi ile ilioneshwa live na FIFA, tena Rais wa wake alikuwepo na watu wengi sana ambao hawaijui Tanzania waliiangalia. Wangeonesha matangazo ya vivutio visivyo tangazwa sana, kama hifadhi ya Ruaha au hata Gombe, ingeongeza watalii sana.
 
Hivi Kenya wanasafiri vipi kwenye bahari yao? Mbona sioni vyombo vya usafiri wa baharini kwenye ukanda huo? Kila siku ni sisi tu ndio tunafungua njia, hapo wanasubiri tuwaletee ya kuunganisha Tanga na Mombasa ili wakashangae Zanzibar. Au wenzetu wanapiga mbizi?😂😂😂
mwaiofhawaii anadai wao hutumia KNS Mv Jasiri na Shupavu kusafirisha abiria kati ya Mombasa na Lamu!
 
Mechi ile ilioneshwa live na FIFA, tena Rais wa wake alikuwepo na watu wengi sana ambao hawaijui Tanzania waliiangalia. Wangeonesha matangazo ya vivutio visivyo tangazwa sana, kama hifadhi ya Ruaha au hata Gombe, ingeongeza watalii sana.
Hujajibu swali 90 mins adverts vs a documentary Good Morning America na National Geographic kipi bora? Usiwe na upumbavu wa ku-blame kila kitu!
 
Have been in Nairobi for 2 days now. What you see on pictures does not give you the real situation. Construction is all over literally. It is like Nairobi is when is getting built. Am at Mirema now. From my balcony I see constructions at every corner.
IMG20231105073324.jpg
IMG20231105072751.jpg
 
And the good thing we don’t give excuses, we just ask for opportunities….. if we can fully connect our lands with enough piped water for agriculture, we will scale to heights of first world, government or no government…. Kenyans unlike Tanzanians are resilient and self sufficient, we don’t wait for government hand outs… even where it looks like it, it’s usually the politicians just playing optic politics for survival….. I can proudly say my village is a good example of how Kenyans can change their own lives without outside government help…15 years ago, water was a perennial problem…. About 10 years ago the issue was resolved via a huge water project originated straight from the source in Mt.Kenya forest …. People went to work…. Agri business took off… wealth increased…. Today every home is a stone and brick mortar constructed…. Every home has a vehicle or two… as I posted before, they had to put a car dealership in the village and now 3 petrol/service stations….. This has happened in other parts of Kenya too…Show Kenyans how to fish and watch them go to work…. But on the other hand Tanganyikans prefer CCM fish since fishing is too hard…. 🤣🤣🤣😄
Na Bado mnajengewa visima na Mr beast😂😂... katika maneno kumi ya mkenya chukua moja...


View: https://youtu.be/mwKJfNYwvm8?si=TyqiVQQWMErItaxy
 
Back
Top Bottom