ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tanznaia Kuna mashoga au hawapo?
View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1721060315050226137?t=FHlUFdf5yZjLt-LUnDcCog&s=19
Soma vzr utanielewa 🤣🤣👇👇👇👇 hii sijui economic programe hu ni mlango wa mbele lakini kuna mlango wa nyuma wenye dhumuni kubwa
Nafkiri hujanielewa vzr nimekwambia hakuna mtu atakupa pesa za bure bila mikakati, mara nyingi pesa za bure nyuma yake kuna mikakati ya ushoga na usagaji na ukitaka kuamini haya maneno panuenu midomo museme ushoga tanzania marufuku alaf uone hzo pesa zitatoka au laa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣