Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,883
- 22,305
Leo ntakuacha kwasababu ni Simba mwenzangu....wacha ubishi imeonwa na watu wengi sana US na Europe!
Leo ntakuacha kwasababu ni Simba mwenzangu....wacha ubishi imeonwa na watu wengi sana US na Europe!
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍Kunyaland the world's aid destination 🤣
View attachment 2804921View attachment 2804922View attachment 2804923View attachment 2804924
Nilisema kwamba mitanzania itaanza kuitazama KPL na tayari matokea ndo haya
Magufuli kabla hajajifia Nairobi hospital😆Kunyaland the world's aid destination 🤣
View attachment 2804921View attachment 2804922View attachment 2804923View attachment 2804924
Hakuna mtanzania ambae yupo interested na vitu vya kenya ukitoa sisi ambao tupo humu ili tuwaumbue. 🤣🤣🤣Nilisema kwamba mitanzania itaanza kuitazama KPL na tayari matokea ndo haya
Azam ndio brand kubwa ya media huko lazy land kwahivyo lazima mtazitazama mechi za KPL. Nikama kuweka kipindi citizen TV, lazima wakenya wataitazama. Tena bado mnatupatia pesa Zenu za madafu 😀Hakuna mtanzania ambae yupo interested na vitu vya kenya ukitoa sisi ambao tupo humu ili tuwaumbue. 🤣🤣🤣
Kwa wewe unavyojua kupitia kisimbuzi cha AZAM tv kuna local channels za bongo ngapi mzee.?🤣🤣🤣 Kiazi kweli we JamaaAzam ndio brand kubwa ya media huko lazy land kwahivyo lazima mtazitazama mechi za KPL. Nikama kuweka kipindi citizen TV, lazima wakenya wataitazama. Tena bado mnatupatia pesa Zenu za madafu 😀
Mwache Mpumbavu aendelee kuota! Hapo Ukunyani hamna media house ina infrastructure na financial muscles kama Azam media! As a matter of fact Azam media peer wake ni the likes of Naspers n MNet!Kwa wewe unavyojua kupitia kisimbuzi cha AZAM tv kuna local channels za bongo ngapi mzee.?🤣🤣🤣 Kiazi kweli we Jamaa
Mzigo wa mganda tutagawana, Mombasa port inazidi kuwa tupu
View: https://twitter.com/SMuyita/status/1721177573550371306?t=_mr4SvJW1PlagIZFvOU46w&s=19
Imagine the thinking of their Pres's chief advisor
View: https://twitter.com/gabrieloguda/status/1720297248419090505?t=fDiuzGDLxypqw7Nmgl-Fow&s=19
Imagine the thinking of their Pres's chief advisor
View: https://twitter.com/gabrieloguda/status/1720297248419090505?t=fDiuzGDLxypqw7Nmgl-Fow&s=19
Don't worry sth is cooking up! Ilianza safari ya matumaini ya mkopo was SGR China, jamaa akarudi mikono mitupu!Ni akili hawana wamejaa arrogance, mkenya anapaswa kumuheshimu sana mganda sababu ndio mtu pekee Africa wanafanya nae biashara kubwa kuliko nchi yoyote, Uganda ikipunguza tu business volume yake na Kenya, lazima wafilisike uzuri Uganda ana option, Kunyaland hana option
View attachment 2805048
Hamna kitu yule mjinga mmoja tuManula katuangusha aisee.