Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The hidden side
F-FYcs2WUAAKe_5
 
Hili sio suala la kushangilia sana manake hakuna msaada wa bure na ukiona msaada unapita ujue kua agenda ya kutangaza ushoga inapikwa nyuma yake
Miaka na mikaka Nchi zote za Lower income zinapewa budget support in form of grants

Masharti Yako wazi value for money,transparency na mambo ya Demokrasia bila kusahau miradi iwe yenye impacts Kwa jamii mfano wa hiyo program ni hii ya Boost na Sequip kwenye Elimu

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1717790885704831118?t=dC76hwgur8qpO8i1z3AbmQ&s=19
20231103_163902.jpg
 
Kumbe unaijua konyagi eehhh 🤣🤣🤣🤣
Konyagi is the spirit of the nation, hawa vibera wanaipenda balaa, authorities za Kunyaland walishajaribu kuifanyia fitna na kusema ni chang’aa lakini wapi, Wakenya kwenye Pombe sio wajinga, wanajua pombe nzuri zinazowapa ahueni ya shida zao nyingi😂😂
 
Miaka na mikaka Nchi zote za Lower income zinapewa budget support in form of grants

Masharti Yako wazi value for money,transparency na mambo ya Demokrasia bila kusahau miradi iwe yenye impacts Kwa jamii mfano wa hiyo program ni hii ya Boost na Sequip kwenye Elimu

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1717790885704831118?t=dC76hwgur8qpO8i1z3AbmQ&s=19
View attachment 2804376

Nafkiri hujanielewa vzr nimekwambia hakuna mtu atakupa pesa za bure bila mikakati, mara nyingi pesa za bure nyuma yake kuna mikakati ya ushoga na usagaji na ukitaka kuamini haya maneno panuenu midomo museme ushoga tanzania marufuku alaf uone hzo pesa zitatoka au laa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nafkiri hujanielewa vzr nimekwambia hakuna mtu atakupa pesa za bure bila mikakati, mara nyingi pesa za bure nyuma yake kuna mikakati ya ushoga na usagaji na ukitaka kuamini haya maneno panuane midomo museme ushoga tanzania marufuku alaf uone hzo pesa zitatoka au laa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tanznaia Kuna mashoga au hawapo?

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1721060315050226137?t=FHlUFdf5yZjLt-LUnDcCog&s=19
 
Back
Top Bottom