Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waulize ile kivumbi walionyeshwa pale Masinga TT jana, lakini they make the place fun akina ephrawheelz, jowpimps, molley, akina Frisby etc, they are putting Tanzania on the map much respec. Si kama huyu muindi fake anaitwa ichogal😂😂
Unamjua my home boy jaysten jow pimps king of drifting 😂
 
I told you, yaani hata huna aibu kupost mibasi ugly kama hizo!? Tanzania kelele tu. Mkikaa Tandale mnaanza kufikiria vile mna mabasi. Hamna lolote.
images (35).jpeg
Best_Buses_to_Western_Kenya_Ena_Coach-768x450.jpg
img_4_1696275223252.jpg
 
Nishasema, Watz huamini kilichopo akili mwao, bora wajiliwaze. Haya Tafta Buscar pia. Ama hizi za kwenda Western. Sijaweka za Coast na North
View attachment 2790715View attachment 2790717View attachment 2790718View attachment 2790719View attachment 2790720View attachment 2790721View attachment 2790723
Bro umeshauriwa kwa upendo kabisa hii battle mkafanye na Burundi sisi sio size yenu. Unasema buses zinazoenda ushagoo sisi tunazungumzia buses zinaenda cross country huko. Sijui unaelewa?

Check vitu hivyo, Dar to Joburg alafu we unatuletea routes za ushagoo??


35d7317c-4324-4aa3-9aaa-684f6ce86a7b-jpeg.2790941
C96611A6-E28B-4DA5-B5DE-0766EEA5A957.jpeg
 
Kile kiswahili cha yuwaja,yuwaenda,yuwala ndio kiswahili bora huko kwenu 😂,hao wa pwani wenu hawajui kiswahili uwa wanajifunza na kukariri maneno mengi ya kutokea TZ
Hicho ndio Kiswahili halisi. 'Hichi' chenu ni cha kulazimishwa na Mzungu akasema eti Kiswahili cha Zanzibar ndicho kitumike kama standard. But the original Swahili ni cha Lamu kikifuatwa na cha Mombasa.
 
Back
Top Bottom