Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakunya endeleeni kuleta picha za kilimani,Kila mtu Ashinde mechi zake 🔥🔥

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1716701143278014671?t=9YbFfpVS5RWx9TRa0DdaIg&s=19
20231024_070329.jpg
 
Hicho ndio Kiswahili halisi. 'Hichi' chenu ni cha kulazimishwa na Mzungu akasema eti Kiswahili cha Zanzibar ndicho kitumike kama standard. But the original Swahili ni cha Lamu kikifuatwa na cha Mombasa.
Hizi story watafute Nigerians uwaeleze 🤣🤣🤣 mtumwa wewe
 
Hicho ndio Kiswahili halisi. 'Hichi' chenu ni cha kulazimishwa na Mzungu akasema eti Kiswahili cha Zanzibar ndicho kitumike kama standard. But the original Swahili ni cha Lamu kikifuatwa na cha Mombasa.
Unaota wewe,hao wa lamu na msa wanakariri kiswahili cha TZ,nishafika huko kote na ukifika mbongo huko uwa wanajitahidi kuongea kiswahili cha bongo kuogopa tutawacheka
 
Unaota wewe,hao wa lamu na msa wanakariri kiswahili cha TZ,nishafika huko kote na ukifika mbongo huko uwa wanajitahidi kuongea kiswahili cha bongo kuogopa tutawacheka
Hakuna Mkenya anayetamani kuongea Kiswahili cha Bongo. Nenda kadanganye Batoto Ba Kongo hiyo.😂😂😂
 
Buda hao wa msa leo mkifanya referendum kama ile ya crimea 2014,watu wa pwani watachagua TZ,mkenya wa bara 80% wakenya wa pwani awamchukulii kama mwenzao tofauti na mbongo hasa wabongo wa tanga
Naonaga wanawabagua mnoo watu wa pwani yao mara wawaite wavivu, sielewi huo ubaguzi unatoka wapi wakati ni nchi moja.
 

Ndio hii tunasemaga kila siku, NI SYSTEM, sio kama vitu vipo tu kimchongo mchongo, Watanzania wanapenda mpira, wana team, wana viwanja, na wana hela wamewekeza kwenye mpira, kwa hiyo kila kitu kinajipa kinakuwa mahala pake kwa kuwa kimekua arranged vizuri, angalia Tickets zinakua sold out, kama BRT vile vile ni system, kuna infrastructure, kuna Buses, Kuna investment , Huwezi kuwa na kimoja tu ukasema na wewe una BRT, Namaanisha huwezi kuwa na hela ya chaki tu ukachora barabarani BRT ONLY basi na wewe ukawa sawa na mwenye BRT 🤣🤣🤣🤣
 
Huu uzi annael wkt anaufungua alikuwa anajua kabisa tuko nyuma kwa wakati ule, ila alipata nguvu ya kufungua huu uzi baada tu ya chuma kuingia madarakani mana aliiona kasi ya mwamba ni kubwa na hakuna nchi itatuweza ukanda huu, kipindi kile nakumbuka wakenya walikuwa wanaleta kejeli sana kwamba oohhh mbingu na ardhi, ni kama usiku na mchana sijui mungu na wanadamu, lkn taratibu gape likaanza kukatika, mpaka sasa tunawapelekea moto 🔥🔥 hasa tena tunafanya mambo makubwa ambayo wao walifikiria kuyafanya miaka 50 ijayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndio hii tunasemaga kila siku, NI SYSTEM, sio kama vitu vipo tu kimchongo mchongo, Watanzania wanapenda mpira, wana team, wana viwanja, na wana hela wamewekeza kwenye mpira, kwa hiyo kila kitu kinajipa kinakuwa mahala pake kwa kuwa kimekua arranged vizuri, angalia Tickets zinakua sold out, kama BRT vile vile ni system, kuna infrastructure, kuna Buses, Kuna investment , Huwezi kuwa na kimoja tu ukasema na wewe una BRT, Namaanisha huwezi kuwa na hela ya chaki tu ukachora barabarani BRT ONLY basi na wewe ukawa sawa na mwenye BRT 🤣🤣🤣🤣
Kipigo wanachokula kwakweli si mchezo, itakapofika 2030 inshallah sitegemei kumuona mkenya humu, lkn pia nafikiri hii battle itakuwa ishakufa mana kutakuwa hakuna uhalisia kabisa.
 
Back
Top Bottom