Bado, hujaijua Mombasa. Kisha muache kuvitaja vijiji Dodoma na Mwanza. Kidogo Arusha inakubaliwa. Watu tu wazima acha kujidhalilisha na vitu za kijinga kama Dodoma na Mwanza. Sio eti Arusha nzuri, lakini kiasi kidogo imepiku vijiji hivyo vingine.Hamna kitu kama hicho! Sema Mombasa ina substandard roads! The whole road network Mombasa haizidi 150 km! Unafananishaje na Dar? Mombasa hata kwa Dodoma haioni ndani!
Nasema hivyo sababu nimefika hizi Town zote. Achani bana ni aibu.
Haya, Mombasa yenyewe. Mtu angeweza itisha hii battle!!!!