Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Hata sielewi unazungumzia nini hapa.. 🤣🤣Matusi ni ishara ya hasira. Hata ujue lugha zote ulimwenguni hilo linajulikana. (Ila hapo kwa kimombo hata wewe unajua its quite a stretch. Labda ukilinganisha na Mtanzania wa kawaida unakijua ila ukilinganisha na mtu anayeelewa lugha uko hivi hivi tu)😂😂😂