Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali ilishaeleza mar nyingi san kwamba riba ilifutwa na utalipwa baada ya miaka 30 pesa kama pesa.
Mm nataka unioneshe ushahidi kua mkopo wa covid ulipatikana bila riba nikuoneshe chura mwenye kalio moja sasa hvi🤣🤣🤣

Hakuna mtanzania mjinga sasa hvi nilishakwambia hope unakumbuka maneno yangu
 
Wakunyavuzi hawataki kukubali ubora wetu ndio maana kila kwenye mafanikio yetu uwa wanajipenyeza,walivyo wajinga wanajua chakula tunawauzia wao tu,githeri na chang'aa zimewaharibu akili
😅😅😅 Eti waje kulima Tanzania mazao ya kutosha kuwalisha, watanzania wenyewe wakiwa wapi? Hilo shamba mtanzania yupi atakukodishia aone unafaidika tu yeye anapokea tu pesa ya Pango? 🤣 Ukikodi tu fremu kwa mbongo ukaweka biashara yako akaona unauza sana mkataba ukiisha anakutimua anaweka hiyo hiyo biashara yeye mwenyewe, ndio akukoshie mahekari? Hawa mazuzu hawajawafahamu wabongo bado 😅😅
 
Mtu fudenge samaleko 😂😂😂 👋👋

20231022_140552.jpg
 
😅😅😅 Eti waje kulima Tanzania mazao ya kutosha kuwalisha, watanzania wenyewe wakiwa wapi? Hilo shamba mtanzania yupi atakukodishia aone unafaidika tu yeye anapokea tu pesa ya Pango? 🤣 Ukikodi tu fremu kwa mbongo ukaweka biashara yako akaona unauza sana mkataba ukiisha anakutimua anaweka hiyo hiyo biashara yeye mwenyewe, ndio akukoshie mahekari? Hawa mazuzu hawajawafahamu wabongo bado 😅😅
Mazuzu hiyo kwenda kununulia shambani tu wamepigwa stop,kunyavuzi akili hawana
 
Back
Top Bottom