The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kama ulaya mwanangu ππβ€οΈπ₯°ππΉπΏππ₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
View attachment 2789213
Hivi yule tony mkunya alipotelea wap
Alikufa kweny maandamano..View attachment 2789213
Hivi yule tony mkunya alipotelea wapi π
Tony254 rafiki yangu sana huyu jamaa, hanaga pigo za kikenya. Kwa sasa yupo skyscraper city anapambana na jnhpp π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£View attachment 2789213
Hivi yule tony mkunya alipotelea wapi π
Leo unaangalia game ya mazembe hapo kwa mkapa kuko fullAma kwa hakika ilifana sana, tuliisimamisha Africa nzima, very standard, wakenya wana kila sababu ya kuogopa, hata hapa naangalia mpira wa Mazembe na Esperance ndani ya Mkapa stadium yani mechi inaoneshwa kwa standard za uefa, alafu muoneshaji ni Azam, nafikiri wakenya wengi watakuwa wanaangalia now. Uwanja uko full house.
5th in a row, hakuna ushindani. Leteni povu la loss making.
View: https://twitter.com/AfricaFactsZone/status/1715849066985181625?t=81Xc1jr-lcMBWUBVYyzi_A&s=19
Mbona kama kwasasa tunakua sana katika kila eneo. Basketball Tz π
View: https://www.instagram.com/reel/Cys_cRMMk5y/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==.
Ukitoa Benjamin mkapa mna nini unaweza leta kwenye meza tubishane Kama hakuna tutatumia hizo hizo za CCM Kama hupendi kafie mbaliUkitaka kujitetkwaea kwa kupitia hizi CCM stadias utakua wewe ni mpumbavu wa mwisho, hizi facilities zilijengwa ya 70s Uko 50+ Years hadi sasa, na nyie mlivyowapuuzi mnajenga vitu vilevile π€£π€£π€£
Unaiogopa Benjamin Mkapa stadium?πUkitoa Benjamin mkapa mna nini unaweza leta kwenye meza tubishane Kama hakuna tutatumia hizo hizo za CCM Kama hupendi kafie mbali
Ilianzia hapa. πππTony254 rafiki yangu sana huyu jamaa, hanaga pigo za kikenya. Kwa sasa yupo skyscraper city anapambana na jnhpp π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hahaha dopchinski you are my good friend. I like you and I respect you. You have a right to celebrate your candidate winning. Nothing wrong with that. I will just take a few days or weeks from Social media. Today is probably the last day I am posting here. I may come back later. I need time to deal with this loss.
No any renovation there unlike hii afarah kuna renovation ya 650m ksh ishateketea hapa π€£π€£DJ tupeleke sokoine stadium mbeya View attachment 2789260View attachment 2789261View attachment 2789262View attachment 2789263
In Uganda
Napenda namna wanatumia maneno ya Kiswahili, hii inaonesha influence ya Tanzania Africa
Tembo
View: https://twitter.com/AfricaFactsZone/status/1715976880313041258?t=KeH3BFxANc2av-Fp56PP5A&s=19
Bingwa
View: https://twitter.com/fouta_djallon/status/1714944762812223962?t=x5LnAxJWrQmou3JzyBOPHQ&s=19
ππππππππππππππππππππππππππππππππππNo any renovation there unlike hii afarah kuna renovation ya 650m ksh ishateketea hapa π€£π€£π€£
View attachment 2789567View attachment 2789568
Nionyeshe stadium ya maana mliyojenga in the past 10 years. πUkitaka kujitetea kwa kupitia hizi CCM stadias utakua wewe ni mpumbavu wa mwisho, hizi facilities zilijengwa ya 70s Uko 50+ Years hadi sasa, na nyie mlivyowapuuzi mnajenga vitu vilevile π€£π€£π€£
Huu ni mtego umemuekea hawezi kujibuπππNionyeshe stadium ya maana mliyojenga in the past 10 years. π
Wow tuko imaraππππNo any renovation there unlike hii afarah kuna renovation ya 650m ksh ishateketea hapa π€£π€£π€£
View attachment 2789567View attachment 2789568
In Uganda
Napenda namna wanatumia maneno ya Kiswahili, hii inaonesha influence ya Tanzania Africa
Tembo
View: https://twitter.com/AfricaFactsZone/status/1715976880313041258?t=KeH3BFxANc2av-Fp56PP5A&s=19
Bingwa
View: https://twitter.com/fouta_djallon/status/1714944762812223962?t=x5LnAxJWrQmou3JzyBOPHQ&s=19
Dunia gani; ile ya mama Ngina au?πDunia inajua kiswahili kilianza lamu tuliza tako