Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unafikiri hawajui kuwa hakutakuwa na usimamizi? Watu walishapewa mwongozo, kula kwa urefu wa kamba yako.
Sasa unaendeshaje utalii bila ya Bureau de Change? Au unafikiri approach ya Magufull ilikuwa sawa kuzifungia na kudhoofisha mzunguko wa fedha uliokuwa 24 hours a day jiji la Arusha na mji wa Moshi? Hivi unajua katazo lilikuza biashara haramu ya fedha? Katazo kama mnalipenda libaki Kanda ya ziwa!
 
1689713806594.png

Mbona huyu mama kavaa mkufu wenye ishara ya upinde?🤣
 
Sasa unaendeshaje utalii bila ya Bureau de Change? Au unafikiri approach ya Magufull ilikuwa sawa kuzifungia na kudhoofisha mzunguko wa fedha uliokuwa 24 hours a day jiji la Arusha na mji wa Moshi? Hivi unajua katazo lilikuza biashara haramu ya fedha? Katazo kama mnalipenda libaki Kanda ya ziwa!
Kwa nini wasiimarishe mifumo wa kutumia mastercard na Visa au hata Unipay kwenye utalii? Na kwenye mahoteli waweke ATM za kutosha ili mtalii aweze kutoa pesa anazo hitaji 24x7
 
Mji umejaa vichaka…bado sana kufikia Concrete Jungle ya Dar
Have you been inside those vichaka?… nothing but mansions hidden Inside….tree coverage is an envy of the whole world except Bongolalas….. nobody promotes concrete jungles nomore….. welcome to modernity…
 
GoK is a shareholder at KQ, they earn a lot of money from them. Paying back meagre loan isn't something to complain. But Tanzania buying planes worth billions of dollars for Actl from internal taxes then it flops is a catastrophic mismanagement of taxes
Do you even hear yourself na huu upuuzi unaongea? How did the Kenyan Government become a shareholder without spending taxpayers money to buy planes or aquire shares?
 
Back
Top Bottom