Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio tunasubiri wakamate tuone sasa 😅😅 kuna moja ilikamatwa uholanzi isharudi unayo taarifa hio ?? Hii mbinu sisi tunaijua vzr sana tutakwenda hvi hvi mpaka mutaizoea air tanzania manake ndio inawanyima usingizi kwa sasa


Baada ya kulipa dolla 165m ama unadhani mlisamehewa Kama kawaida yenu🤣🤣🤣
 

Conference Tourism inarudi kwa kasi sana, maliza kujenga ile Kilimanjaro Conference Centre na pale Dodoma, waweke na moja pale Zenji then the game is ours. Wanaotaka kila siku kwenye KICC au Kigali waende, wanaotaka kuchange weather with a little bit hit na night life ya ukweli after conference waje Dar pale JICC tutawahost, wakitamani dryish na winery environment tupo Dodoma, wakitaka kula pweza na beach cruise after conference tupo, au wakitaka kupasha cha Arusha na hiking au Safari trips kwenye parks zenye majina Makubwa duniani after conference tupo……..kote huku kuna International Airport na watapanda ndege zetu sio za mkopo, na Five Stars Hotel za ukweli. The future is ours to take, kuna pesa ndefu sana hapa tukijipanga.
 
KQ haitumii ushuru wa wananchi Kama Actl
Ndio maana mumekaa kama makondoo🤣
20230718_131028.jpg


 
Afadhali mungetuuzia sisi hio bandari yenu tungeipaisha juu Kama ya mombasa kuliko kuwapa UAE sasa tarajia wahindi, wapakistani na wa Philipino kujazana Dar slum.
Nyinyi kwani muna bandari??🤣🤣🤣
Sio huyu joho nilikua nakwambia au?

Wivu unawasumhua sana kuona kampuni kubwa DP world kuichagua dar dhidi ya mombasa 🤣🤣


 
Afadhali mungetuuzia sisi hio bandari yenu tungeipaisha juu Kama ya mombasa kuliko kuwapa UAE sasa tarajia wahindi, wapakistani na wa Philipino kujazana Dar slum.
Kenya hadi pesa ya kulipa mishahara mnakopa nje ya nchi, viwanja vya mpira hamna pesa ya kuvikarabati, Kenya hii masikini watu wanakufa njaa Kila siku?. By the way Dar port is ranked position 312, while Mombasa port 324

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom