Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini hii haki iko enshrined kwenye constitution. Kuisha mpaka ugali ukae kwa meza si kitu ingine
Hii noma sana.Nawaonea huruma watoto wanaopigwa mabomu ya machozi kisa wazazi wao wanadai ugali kwa meza
 
Eti tynawaombea dua muuane!! Wakati dua walishaomba mungiki



Ila ki ukweli inanitisha hii hali sasa! Dah!!
Hii ndio hali naiona Kenya huko wanakokwenda ni pabaya sana, kwenye katiba yao ndivyo inavyosema?

Odinga anataka nini, kwanini wasimpe muda Rutto, au kwa vile si Mkikuyu?

Ukabila ni ugonjwa mbaya sana aisee.
 
Ugali shuted down shakahola completely, githeri ndio kande? 😂😂😂😂
Makande na githeri ni mbingu na ardhi
images-3.jpeg
images-5.jpeg
 
No stone shall remain standing,
That very small drab little two rivers will remain in story books as the mighty, mesmerizing ultramodern $120m, 75K square meters East African Business & Logistics Center in Ubungo Dar es Salaam Takes Shape.
We are back to our Glory
IMG_5797.jpg

IMG_5795.jpg

IMG_5794.jpg

IMG_5780.jpg

IMG_5779.jpg

IMG_5786.jpg

IMG_5774.jpg
 
No stone shall remain standing,
That very small drab little two rivers will remain in story books as the mighty, mesmerizing ultramodern $120m, 75K square meters East African Business & Logistics Center in Ubungo Dar es Salaam Takes Shape.
We are back to our Glory
View attachment 2692855
View attachment 2692856
View attachment 2692857
View attachment 2692858
View attachment 2692859
View attachment 2692860
View attachment 2692861
Two rivers giving you sleepless nights 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom