joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Nchi ya hovyo sana hiiAP Special ForcesView attachment 2692274View attachment 2692275
Mkataba uko wapi uliosainiwa 🤣🤣🤣🤣Kulingana na wewe DP world watendesha bandari zote tanganyika bure bilashi?? Wacha kutetea ukiritimba.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwann unapanicPunguza hasira, kondoo ni watanzania wanaokaliwa vibaya na CCM.
Regular Kenya Police View attachment 2692287View attachment 2692288
Mbona wanavaa rangi za kuta za nyumba?Regular Kenya Police View attachment 2692287View attachment 2692288
KDF ni kikosi cha jeshiSielewag majeshi ya kenya.. hawa ni wanajeshi au polisi?
Mtu ajaribu kunipa utafaut wao.. yup ni polisi na yupi ni mwanajeshi
Wakae mezani wayamalize tu.Uharibifu hutokea baada ya polisi kuanza kuwatawanya na kurusha mabomu ya machozi, kwa hasira waandamanaji wanaamua kujibu mapigo, aliyeanzesha fujo ni yule aliyeaanza kurusha mabomu ya machozi na maji ya washawasha
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Acha makasiriko sio mimi nimekunyima umemeHow will that help Shithole Mwanza upgrade from its kibandaski airport View attachment 2692218
Hivi ile ndege ilifikaje Uholanzi wakati hatuna route huko?Ndio tunasubiri wakamate tuone sasa 😅😅 kuna moja ilikamatwa uholanzi isharudi unayo taarifa hio ?? Hii mbinu sisi tunaijua vzr sana tutakwenda hvi hvi mpaka mutaizoea air tanzania manake ndio inawanyima usingizi kwa sasa