mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 4,812
- 5,263
I was thousands of miles away from Kamukunji…btw… the only sufuria I know is TPDF helmets….😂😂😂😂Ulivaa sufuria lako la ugali kichwani kumuunga mkono "baba" leo kwenye maandamano?
I was thousands of miles away from Kamukunji…btw… the only sufuria I know is TPDF helmets….😂😂😂😂Ulivaa sufuria lako la ugali kichwani kumuunga mkono "baba" leo kwenye maandamano?
Hata huko uliko ungevaa tu sufuria leo kumuunga mkono "baba"🤣🤣I was thousands of miles away from Kamukunji…btw… the only sufuria I know is TPDF helmets….😂😂😂😂
Kwa hiyo miaka, Mzizima Tower alone hajaisha, Bureti Traini wala haijatokea, unapata wapi nguvu ya kulinganisha na mradi unaitoshana na uchumi mzima wa Tanzania!?It is now 16 years since I heard that during Kibaki regime.
Hii dunia leo inaangamia kwasababu yao wao na huu ndio ukweli broWala sina chuki bro vile hujanijua tu vzr najaribu kuweka yale maovu yao ambayo yamejificha nyuma ya pazi kama haki za binaadamu, sijui haki sawa kwa wote etc
Hii dunia leo inaangamia kwasababu yao wao na huu ndio ukweli brovita vyote ulimwenguni nyuma ya vita ni wao, uchafu wote ulimwenguni nyuma ya uchafu ni wao
Bahat mbaya sana sisi hatupendi kukubaliana na ukweli but ndio ukweli haujifichi

vita vyote ulimwenguni nyuma ya vita ni wao, uchafu wote ulimwenguni nyuma ya uchafu ni waoWhat about a country which is ruled based on ethnicity, tribalism and cartel?. Very primitive and backwardness. People are just killed like flies with no reason just because they demonstrate peaceful.When a country is ruled by one autocratic party ( like CCM) and all information is regulated by government sensors, then it’s hard to tell what’s actually going inside such country…. That’s why their citizens love watching foreign news … they envy their free neighbors….View attachment 2681412
Kunya inaiuzia nini TZ kwa sasa?Unaniletea figures za Tanzania against eac nzima na unaclaim mnaenda kudouble trade deficit na kenya. Trade deficit between kenya na Tanzania ni kidogo sana inaishinda ikishift kulingangana na seasons. Hamna siku mtatuuzia mara mbili ya tunachowauzia, labda kwa ndoto. Alafu pitia hio post yako, ulikua unazungumzia kugenerate umeme through geothermal ni very expensive ukilinganisha na hydroelectric nikakuambia ulete figures tuone zimewachana na ngapi
Huyo jamaa ukifuatilia content zake ni malaya,hata alipokua TZ alikua na malayq wa kikenya,tour guide wake alikua anamtembeza mitaa ya kijitonyama tu,kkoo alifika na mmarekani mwenzake anaitwa mark meet afrika ambaye anaishi TZ,alipofika kenya jamaa awampeleki uswazi ila siku akifika uswazi ndio atajua hajuiUmemualika Mathare akajionee kwa macho yake?
Mzizima tower ina miaka mingap??😅😅 SGR ina miaka mingap wakat all 6 phase zinajengwa mumebakia kupiga kelele kama vichaaKwa hiyo miaka, Mzizima Tower alone hajaisha, Bureti Traini wala haijatokea, unapata wapi nguvu ya kulinganisha na mradi unaitoshana na uchumi mzima wa Tanzania!?
Ni wazo zuri sana bila shaka serikali italizingatia hili labda kama sheria zao haziruhusu.Serikali wajenge bomba la gesi kuanzia mtwara/lindi kuelekea songea,halafu lipite liganga ludewa kwenye mzigo wa chuma.
Halafu toka hapo lielekee mbeya hadi Zambia.
Kama wakipeleka gesi liganga,halafu wakachimba chuma na kuyeyusha palepale kwa Kutumia gesi kama source of energy,halafu kutumia gesi hiohio kwenye kutengeneza bidhaa mbalimbali za chuma kama spea za magari,pikipiki,zana za kilimo,vifaa vya ujenzi ,n.k, basi tutakuwa na viwanda vingi vitakavyoibuka ambavyo vitazalisha bidhaa tofautitofauti za chuma.Kinachotakiwa ni kuwa na mpango mzuri wa kuhakikisha chuma cha liganga kinauzwa nje kama bidhaa kamili iliyoongezwa thamani viwandani.Lakini wakizembea hapo,tutakuwa tunaliongelea suala la viwanda kama ndoto za alinacha wakati kiukweli mungu katupa kila kitu.
nitawashangaa sana kama hawatapitisha bomba la gesi liganga, na hio ni njia fupi kuelekea Zambia. Na nitawashangaa sana kama watang'ang'ania kuuza chuma cha liganga kikiwa ghafi badala ya bidhaa kamili.
Dodoma haijaisha ujenzi tangu indepedence 🤣🤣Kwa hiyo miaka, Mzizima Tower alone hajaisha, Bureti Traini wala haijatokea, unapata wapi nguvu ya kulinganisha na mradi unaitoshana na uchumi mzima wa Tanzania!?




Hahahaha, hii ni mbingu na Ardhi.
Ada ya usajili kwa mchezaji anayechezea ligi kuu Kenya ni Tsh 17M na mshahara kwa mwezi ni Tshs 500K,
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app