Nyinyi sio tu food staff mpaka electricity mutanunua kutoka tanzania bila kusahau gas lazima tuwaonyeshe misuli yetu this time mark my words![]()

wishful thinking. Umeme tunaogenerate wenyewe hatumaliziHivi unajua grid yetu pia ipo connected na ya Ugandan na Ethiopia? How much electricity do we import? Ukweli ni kwamba you only export food stuffs to kenya which inategemea seasons, kama kuna kiangazi kenya ndo mnaexport sana. The problem is soon tutaacha kuimport some of the food stuffs once our irrigation projects start working
Hahahaha, Kenya hamna umeme wa maji, ninyi mnategemea "Geothermal ambao ni ghali, ndio sababu bei ya umeme kwenu ipo juu Sana, hivi sasa mnasubiri bwawa la Ethiopia likamilike Ili mnunue umeme wa bei Nafuu toka Ethiopia.Hivi unajua grid yetu pia ipo connected na ya Ugandan na Ethiopia? How much electricity do we import? Ukweli ni kwamba you only export food stuffs to kenya which inategemea seasons, kama kuna kiangazi kenya ndo mnaexport sana. The problem is soon tutaacha kuimport some of the food stuffs once our irrigation projects start working
Dodoma is rising
FYI Abuja took Dodoma's Masterplan! Najua wivu umekupa tumbo la kuhara!you compare this takataka with abuja and wonder.....
Nyangau sifa tuu hakuna kitu huko Kunyaland sisi huku tunakimbiza mwizi kimya kimyaLast time kuna kichaa mmoja alisema Tanzania haina vibrant private sector, Kunyaland haina mark yoyote NYSE wala haitokaa iwe nayo

Wapi amecompare na Abuja?you compare this takataka with abuja and wonder.....
Nothing works in KenyaHivi unajua grid yetu pia ipo connected na ya Ugandan na Ethiopia? How much electricity do we import? Ukweli ni kwamba you only export food stuffs to kenya which inategemea seasons, kama kuna kiangazi kenya ndo mnaexport sana. The problem is soon tutaacha kuimport some of the food stuffs once our irrigation projects start working

Cooking gas na tiles are imported from Tanzania pia"You only export Food stuffs"
Kuficha kichwa kwenye mchanga haitawahi save your ^ss.
Vipo vingi,wasisingizie kuwa wanaagiza chakula tu pekeeCooking gas na tiles are imported from Tanzania pia
Hapo ndipo maono ya viongozi wetu wengi huwa ni finyu,,mara nyingi huaribuSerikali wajenge bomba la gesi kuanzia mtwara/lindi kuelekea songea,halafu lipite liganga ludewa kwenye mzigo wa chuma.
Halafu toka hapo lielekee mbeya hadi Zambia.
Kama wakipeleka gesi liganga,halafu wakachimba chuma na kuyeyusha palepale kwa Kutumia gesi kama source of energy,halafu kutumia gesi hiohio kwenye kutengeneza bidhaa mbalimbali za chuma kama spea za magari,pikipiki,zana za kilimo,vifaa vya ujenzi ,n.k, basi tutakuwa na viwanda vingi vitakavyoibuka ambavyo vitazalisha bidhaa tofautitofauti za chuma.Kinachotakiwa ni kuwa na mpango mzuri wa kuhakikisha chuma cha liganga kinauzwa nje kama bidhaa kamili iliyoongezwa thamani viwandani.Lakini wakizembea hapo,tutakuwa tunaliongelea suala la viwanda kama ndoto za alinacha wakati kiukweli mungu katupa kila kitu.
nitawashangaa sana kama hawatapitisha bomba la gesi liganga, na hio ni njia fupi kuelekea Zambia. Na nitawashangaa sana kama watang'ang'ania kuuza chuma cha liganga kikiwa ghafi badala ya bidhaa kamili.
Upuuzi mtupu.The only sufuria kwa kichwa we know ni helmets za TPDFβ¦now I understand why they also carry firewood in the paradeβ¦.