7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Za uso ni za uso tu. Ukipigwa ya jicho halafu ukamuuliza wa pembeni yako nisaidie kuniangalizia jicho langu kama linaona ujue tayari umeshaumuka, jicho limeshajifunga halitaki tena kuyashuudia makonde.Kindly stick to the arguments....posting someone's personal life is not allowed.Ukishindwa debate unajitoa tu .....huendi personal
Msiwe na mnajibrag eti mna maisha mazuri kushinda watz wakati hali zenu ni tia maji tia maji.
Fita ni fita muraa usituchagulie mahali pa kupiga













