joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hawa jamaa ni masikini wa kupitiliza, ngoja uone kwenye kutumia choppers kwa Wanasiasa wao.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hawa jamaa ni masikini wa kupitiliza, ngoja uone kwenye kutumia choppers kwa Wanasiasa wao.
Kwa hiyo miaka, Mzizima Tower alone hajaisha, Bureti Traini wala haijatokea, unapata wapi nguvu ya kulinganisha na mradi unaitoshana na uchumi mzima wa Tanzania!?




Hawa lazima watakuja Tanzania, hawana uwezo wa kwenda katika nchi za waarabu, timu za Kenya ni masikini Sana.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tumepata mteja mwingine hapa 👇
Dodoma
Yule Holleman ana matatizo ya akili...anahitaji Masada wa kisaikologia...Huyo jamaa ukifuatilia content zake ni malaya,hata alipokua TZ alikua na malayq wa kikenya,tour guide wake alikua anamtembeza mitaa ya kijitonyama tu,kkoo alifika na mmarekani mwenzake anaitwa mark meet afrika ambaye anaishi TZ,alipofika kenya jamaa awampeleki uswazi ila siku akifika uswazi ndio atajua hajui