tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]Umewahi sikia lini yakafanyika Tabora au.kwenu Tanga?
Ulivyo nyumbu hujui kwamba Serikali imeyageuza na kuwa na ya Kimataifa na yatakuwa yanafanyika Mbeya na Dodoma
Nothing is special about nanenane
BTW kwetu mimi ni Kilimanjaro, ofcz the most developed region in Tanzania behinds Dar es salaam
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app