tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Mbeya ni Big No ,hakuna mji apa ni fujo tuNini kimekusikitisha bwana Mkunya
Zile picha za Slums kama za Kibera ya Nairobi ulizitoa wapi? Mbeya yetu Iko namna hii tena just a portion [emoji116]
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app