nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,127
- 1,839
wakenya ni majirani na ndugu zetu lakini wamekuwa wakituhujumu mara zote tena bila sababu za msingi ingawaje wao ndiyo wanufaika zaidi ya undugu na ujirani uliopo. Daima wakenya wamekuwa siyo watu wema hasa yanapokuja masilahi ya Tanzania.Magufuli alikua anaenda bampa yo bampa aisee,ila magu kaacha legacy ya uzalendo maana sasa wengi wa watanzania washaujua usnitch wa kunyan,na kila mwenye mamlaka ya kuwabana anawabana kiupande wake,uwa napita tiktok yan kule kuna vita kubwa sana,kuna mbongo alienda mpaka naipori kuonesha umaskini wa kunyan,nasikia hii issue hadi serikali yao imeingilia 😃,jamaa kawachana vibaya sana 😃