Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiambu ni caunty masikini sana hata usafiri wa umma na barabara ni mbovu, hakuna sehemu yenye ahueni ya maisha shakahola

View attachment 2670547
You still haven’t answered the question…. Typical Bongolala beat about the Bush….. btw.. Kiambu has more wealth than any region of Tanzania outside of Dar… but definitely no comparison in slums…. You are the kings of Uswaziland….🤣🤣🤣🤣
 
Niliwahi kuwapa home work wataje county moja ambayo haina slum wameshindwa mpk leo, Kenya ni Nairobi tena maeneo machache lkn ukitoka meter kadhaa kutoka Nairobi ni ushuzi kushoto kulia na ndiyo maana mkenya mwenzao Tony254 alipotaka kutoa siri waliogopa mno cz wanapenda sifa ambazo hawana, hawapendi kuishi kwenye uhalisia wao, thus y wana maisha magumu mno ukilinganisha na nchi zingine EA na wasipobadilika tutaendelea kuwaacha.

Kila siku wanapokuja Tz wanakuta ni tofauti na walivyoacha cz sisi tulikubali kubadilika japo matatizo hayaishi, ila wao ni ujuaji uliopitiliza, kila mkenya ni mjuaji ndio maana unakuta vurugu haziishi nchini mwao na miradi hakuna.
Every town and “city” in your LDC shithole is Uswaziland… taja any place in Bongo and I show you right now…🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Niliwahi kuwapa home work wataje county moja ambayo haina slum wameshindwa mpk leo, Kenya ni Nairobi tena maeneo machache lkn ukitoka meter kadhaa kutoka Nairobi ni ushuzi kushoto kulia na ndiyo maana mkenya mwenzao Tony254 alipotaka kutoa siri waliogopa mno cz wanapenda sifa ambazo hawana, hawapendi kuishi kwenye uhalisia wao, thus y wana maisha magumu mno ukilinganisha na nchi zingine EA na wasipobadilika tutaendelea kuwaacha.

Kila siku wanapokuja Tz wanakuta ni tofauti na walivyoacha cz sisi tulikubali kubadilika japo matatizo hayaishi, ila wao ni ujuaji uliopitiliza, kila mkenya ni mjuaji ndio maana unakuta vurugu haziishi nchini mwao na miradi hakuna.
Wakundustan ni watu wa ajabu sana, em angalia hizi slums hapo ila sababu kuna vigorofa vya tope hapo wanajizima data kwamba hakuna slums, Mkunya slum kwake ni nyumba za mabati tu, hizi za udongo ni estates 😂😂😂😂

20230519_214738.jpg
 
Please don’t even go there… Bongo is 70 % slum… every town and “city” is majority slums… I know you love google search but hate google earth…this 2023 you can lie but you can’t hide the truth….
Weka ushahidi wa kimaandishi unaosema hivyo, Weka list ya nchi kumi zenye slums duniani ukiipata Bongo naondoka jamiiforums.
 
You still haven’t answered the question…. Typical Bongolala beat about the Bush….. btw.. Kiambu has more wealth than any region of Tanzania outside of Dar… but definitely no comparison in slums…. You are the kings of Uswaziland….🤣🤣🤣🤣
Hatuna 1400+ slums in Tanzania unfortunately 😂😂😂😂

 
Unangoja nini. Leta video ama picha.
Dar nimefika mara kadhaa, mwisho December 2022.

Na ukubwa wake sio hoja. Hoja ni maendeleo yaliomo.
Eastleigh yenyewe sio kubwa lakini iko na highrise apartments mingi kuliko Dar mzima.
Sasa we umefika Dar gani.? Kama hujui kama Kinondoni manispaa ni kibwa sawa na Nairobi.? 🤣🤣 Unaijua mipaka ya manispaa ya Kinondoni.?
Idadi kubwa ya Mitaa ya washua ipo Kinondoni manispaa..
Upanga
Masaki
Osterbey
Kinondoni yenyewe
Mikocheni
Kawe
Mbezi beach
Salasala
Mbweni
Ununio beach
Survey
Bunju
Mwengo coca-cola
Makongo juu

Namba kubwa ya watu wa middle class na matajiri in DAR wanaishi wilaya ya Kinondoni.. ambayo ni same size na hiyo Nairobi yote

Halafu uko hapa eti unatamba umeshawahi kufika DAR 🤣🤣
 
Meza wembe hapo nje. 😂😂😂
Sehemu gani Tanzania mijengo inaendelea hivi? Name Just one estate imefika ata nusu ya Eastleigh.

Give it 10 years huko kutakaa Istanbul. Right now its a construction zone. Wacha Wasomali wamalize kuharibu barabara with the big trucks. Serikali itaingia baadaye.
Kwa majengo manngap munayojenga ?? Hebu sema nikuskie 😅😅😅😅
 
Don't worry, we are demolishing dozens of old buildings every year in Eastleigh.

Ona hii video, and if you have time count the number of green nets; buildings under construction.

Then report back here whether there is any similar concentration of green nets in Tanzania, or frankly anywhere in Sub-Saharan Africa.


Chaos chaos chaos

Live from Eastleigh now, congested, overcrowded streets bursting population but very limited or even not in place emenities, huwezi kusema eti we're demolishing old buildings and that's a relief?

You demolish 3 storey building accommodating 10 families in an exchange of erecting 10 storey building with 30 more families in such a devastating environment, you even make it more worse, the problem of Eastleigh has never been dwarf houses but overpopulation and it keeps on skyrocketing even more now

20230627_181948.jpg
20230627_181950.jpg
 
Sasa we umefika Dar gani.? Kama hujui kama Kinondoni manispaa ni kibwa sawa na Nairobi.? 🤣🤣 Unaijua mipaka ya manispaa ya Kinondoni.?
Idadi kubwa ya Mitaa ya washua ipo Kinondoni manispaa..
Upanga
Masaki
Osterbey
Kinondoni yenyewe
Mikocheni
Kawe
Mbezi beach
Salasala
Mbweni
Ununio beach
Survey
Bunju
Mwengo coca-cola
Makongo juu

Namba kubwa ya watu wa middle class na matajiri in DAR wanaishi wilaya ya Kinondoni.. ambayo ni same size na hiyo Nairobi yote

Halafu uko hapa eti unatamba umeshawahi kufika DAR 🤣🤣
Wewe muulize middle class nairobi wanaishi wapi wakikuinesha nitag mm 😅😅😅😅

Yani kwao middle income ni yule alie rent bedsiitter au 2bedrooms 😅😅😅😅

Wakat third class huku anamiliki nyumba kabisa au kapanga
 
Wamepoteana kweli hata siwaoni 😂😂😂 yule tapeli fake wa marekani ya ketepa anachungulia na kutoka 😂😂😂
Sasa ikiwa over 60% wanaishi kibera jiulize wengine wanaishi wapi?? 😅😅😅😅 what about mathare, makuru kayaba, kisumu ndogo, umoja, kariobangi etc


In 2006 walikua 1m kibera slum alone😅😅
 
Sasa ikiwa over 60% wanaishi kibera jiulize wengine wanaishi wapi?? 😅😅😅😅 what about mathare, makuru kayaba, kisumu ndogo, umoja, kariobangi etc


In 2006 walikua 1m kibera slum alone😅😅

Hapo hapo tusisahau kwamba kibera ni 1 tu kati ya ukwasi wa 1400+ slums shakahola iliobarikiwa nao 😂😂😂😂

 
Back
Top Bottom