Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukweli lazima tuwaambie, Tanzania ni slum moja kubwa, huu ni mji wa mbeya nyumbani kwa ChoiceVariable. Picha nzuri nilizopata ni hizi
images-7.jpeg
images-4.jpeg
images-5.jpeg
images-6.jpeg
 
Niliwahi kuwapa home work wataje county moja ambayo haina slum wameshindwa mpk leo, Kenya ni Nairobi tena maeneo machache lkn ukitoka meter kadhaa kutoka Nairobi ni ushuzi kushoto kulia na ndiyo maana mkenya mwenzao Tony254 alipotaka kutoa siri waliogopa mno cz wanapenda sifa ambazo hawana, hawapendi kuishi kwenye uhalisia wao, thus y wana maisha magumu mno ukilinganisha na nchi zingine EA na wasipobadilika tutaendelea kuwaacha.

Kila siku wanapokuja Tz wanakuta ni tofauti na walivyoacha cz sisi tulikubali kubadilika japo matatizo hayaishi, ila wao ni ujuaji uliopitiliza, kila mkenya ni mjuaji ndio maana unakuta vurugu haziishi nchini mwao na miradi hakuna.
Nakupa homework, nitajie mji wowote tanzania ambayo haina slum nikuonyeshe. Ukweli lazima tuwape
 
Sema mzee wangu kwa hii mbeya sikuungi mkono. 🤣🤐 Mbeya ipo nyuma bhana
Sio lazima uniunge mkono maana nilishakutoa kamasi siku nyingi..

Mbeya hakuna slums Wala mabanda ya nguruwe kama ya Nairobi au Dar..

Mfano picha za Slums kama za Zanzibar alizotoa hapo huyo Mkunya nimeshangaa,sikuwa najua kama Zenj Nako Kuna mabanda 😂😂

that_mbeya_guy_1679744755128476.jpg
 
Hakuna mtanzania anajibizana na nyinyi kwa kuongea uongo humu, kwanini nyinyi mnapenda uongo.?
Hawa uongo kwao uko inborn hata GDP yao si unaiona na hapa juzi juzi walikuwa wanaficha true value ya KES against USD kwa currency management mpaka wakaumbuliwa na WB na IMF leo reality ime catch up now fast and they are now sitting on a middle finger [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom