Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vipi kuhusu katiba mpya, mbona hatuoni ikipambana na huu ujinga?, au imeshazeeka wanahitaji kuandika katiba nyingine?
Hawa hata ateremke mtume wa Mungu aje awaongoze hawawezi kunyooka kwasababu wanaroho mbaya sana alaf wabinafsi sana
Yani hakuna mjaluo au mkikuyu anaefurahia kabila lingine kufaidika ndio maana unaona serekali ikishikwa na mkikuyu basi over 70% wafanyakazi serekalini watakua wakikuyu tu
 
Hawa hata ateremke mtume wa Mungu aje awaongoze hawawezi kunyooka kwasababu wanaroho mbaya sana alaf wabinafsi sana
Yani hakuna mjaluo au mkikuyu anaefurahia kabila lingine kufaidika ndio maana unaona serekali ikishikwa na mkikuyu basi over 70% wafanyakazi serekalini watakua wakikuyu tu
Umemaliza Kila kitu mkuu.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Cheap sugar from Tanzania coming to a table near you.

Cheap sugar gani na yet uko kilo ni 170 since sijui 2019!!!
Ikuwe cheap kwa watanzania wanyonge kwanza ambao wamefungwa mdomo na katiba mbovu ya 1960.
 
Ujue wanakuja na uchumi hawa, accommodation, utilities, fees, living expenses za hapa na pale ni mchango mkubwa kwenye microeconomics, India ina percent nzuri ya education tourism kwenye uchumi wake

Ninyi naona hata serikali yenu imeshindwa kabisa kuwapigania inabangaiza serikali nyingine duniani ndio ziwape one of their critical obligation which they've failed to deliver, employment, yaani mpaka Jamaica seriously 14 billion economy? 😅😅😅


Jamaa wamechoka sasa wamekimbilia kweye ajira za urasta 🤣
 
Nakuru 😍😍
IMG_20230623_105948.jpg
 
Cheap sugar gani na yet uko kilo ni 170 since sijui 2019!!!
Ikuwe cheap kwa watanzania wanyonge kwanza ambao wamefungwa mdomo na katiba mbovu ya 1960.
This is the real meaning of a giant country, it is a major source of imports and remittances to it's neighbors

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
jivunie cha kwako ni
Harambee Stars beat Pakistan yesterday in Mauritius…. Do you see us here posting about it?… No !.. because it’s Pakistan not South Korea or Japan…. Please beat some respectable and ranked teams and then you can brag all your life…Chenzi type!..🤣🤣🤣🤣
pelesupelesu kila kona mpaka myoke manundu.
 
Back
Top Bottom