Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😅😅😅🙌🙌🙌

It’s called. Freedom of speech, a sign of a real mature democracy…. Mtu anaita Presidents walevi na mwizi… and he’s free …. Try that in Russia, Saudi Arabia… never mind , I forgot our jealous neighbors Bongolalas….. I dare any man with balls to say Mangufuli lied about COVID and died of Covid…coz that’s the real truth…. say it in a public setting….. but make sure they have written their will first….🤣🤣🤣🤣
 
Wakenya ni wapumbavu sana mkuu, hapo kabla nilikuwa najua wana kaupumbavu fulani hivi ila baada ya kuwajua vizuri yani niligundua ni washenzi kabisa ambao hawafai kuitwa binadamu. Hawa ndio wale nyani tunaowasoma kwenye vitabu.
You are dumber than a bag of hammers mr. Watchman… you of all Bongolalas should be the last saying anything about the post…. You have been wishing Kenyans to die and become extinct every opportunity…. We have evidence we can repost if you want to…. Hypocrite much!
 
Kumbe wanajua sana mchango wa russia👏

What’s the big deal here?… ISS is a project involving 5 space agencies…. Last time I checked, Russia 🇷🇺 was still one of them….they are just doing their part…
 
WRC Safari rally week begins today
FB_IMG_16873251606357375.jpg
FB_IMG_16873251534646794.jpg
FB_IMG_16873251574559232.jpg
FB_IMG_16872897715712676.jpg
FB_IMG_16872900007823767.jpg
FB_IMG_16872899923025490.jpg
FB_IMG_16872899740672210.jpg
 
Mount Kenya, mna uhakika huu ni Mlima na sio kichuguu kikubwa cha mchwa ?
So ugly , mlima una sura ngumu kama emilio kibaki. A reason you will never see Kenyans posting this ugly thing on social media platforms. Kutwa wanakomaa na the beautiful Mount Kilimanjaro
IMG_4595.jpg

IMG_4594.jpg
 
You are dumber than a bag of hammers mr. Watchman… you of all Bongolalas should be the last saying anything about the post…. You have been wishing Kenyans to die and become extinct every opportunity…. We have evidence we can repost if you want to…. Hypocrite much!
Kitu gani nimeongopa hapo?

Wakenya sio wadini? (Mnaonesha hata humu)

Wakenya sio wakabila?

Wakenya hamchukiani?

Wakenya hamkataliwi na baadhi ya mataifa duniani kwa ushenzi wenu?

NB. Kuhusu kufa huwa nasema mnatakiwa mpungue ili kulinda hali ya food security kwasababu mpo wengi na kanchi kenu ni kadogo msipopungua mtatupa shida kuwalisha kwasababu nyie ni wazembe na wavivu.
 
Back
Top Bottom