Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivo wakiamishwa Muhimbili inamaanisha Muhimbili ni bora? Mbona basi hawakuamishwa Cape Town ambayo ni bora Afrika? Mbona hawuamishwa Havard ambayo ni bora duniani kwa sasa? Huwa mna reasoning ya kipuuzi sana nyinyi. University za Kenya sio za kuingia tu kiovyoovyo.
Ujue wanakuja na uchumi hawa, accommodation, utilities, fees, living expenses za hapa na pale ni mchango mkubwa kwenye microeconomics, India ina percent nzuri ya education tourism kwenye uchumi wake

Ninyi naona hata serikali yenu imeshindwa kabisa kuwapigania inabangaiza serikali nyingine duniani ndio ziwape one of their critical obligation which they've failed to deliver, employment, yaani mpaka Jamaica seriously 14 billion economy? 😅😅😅

 
Mahali dar ilishindwa hii downgrade ndo itaweza🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20230622-135257.jpg
 
Back
Top Bottom