Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona huwa tunashirikianaga na wazungu au wachina.? Iko wapi shida tukishirikiana na waarabu.? Au tunasau kuwa sisi ni non aligned movement.
Wajinga hao achana nao,Egypt na Iran Zina ushirika mkubwa sana wa Kijeshi na Tanzania,hata Algeria tunapeleka sana watu Wetu huko..

Waarabu ndio Kwa Sasa Wana pesa,Dunia yote inaenda kwao Wazungu wamefilisika,Wachina ni matapeli hawaamoniki..

Wajamaa ni watu wa hovyo sana usiwape airtime, Serikali sio wajinga wanajua wanachokifanya.
Screenshot_20230618-135104.jpg
 
Unasahau huko kwenu estates kama hizi ni vumbi tupu. Hizi barabara zimeharibika because of the heavy construction imekua ikiendelea eastleigh na barabara zenyewe zilijengwa kitambo. Tyari Nairobi county inapania kuzikarabati hizo barabara mwaka huu
Reminds me of Kilimani. There was heavy construction there between 2015 and 2021 and the roads became pathetic but sahii kuko poa sana.
 
Roads zinajengwa after
Sahii construction lorries zimearibu.
But you can seee well vile Eastleigh is green net all over.
Apartment za maaana.
Haina tofauti na upanga....


Kuhusu nets Kariakoo kuna nets kibao...maghorofa kibao yanajengwa....


Bila kusahau Sinza na mwemge kuna maghorofa kibao tu yanajengwa...


So hio sio big deal...
 
Wajinga hao achana nao,Egypt na Iran Zina ushirika mkubwa sana wa Kijeshi na Tanzania,hata Algeria tunapeleka sana watu Wetu huko..

Waarabu ndio Kwa Sasa Wana pesa,Dunia yote inaenda kwao Wazungu wamefilisika,Wachina ni matapeli hawaamoniki..

Wajamaa ni watu wa hovyo sana usiwape airtime, Serikali sio wajinga wanajua wanachokifanya.View attachment 2661539
Tuna peleka watu wetu kufanya nini huko?
In 1960s kabla ya Tanzania Military Academy kujengwa, higher training kijeshi walienda Egypt na kwingineko.

Sasa, hebu tupe mwongozo ukiambatana na ushahidi wa nini kinaeapeleka wanajeshi wetu huko, ikiwa higher military training karibia nchi zote za kusini mwa jangwa la Sahara, hutumia Tanzania Military Academy.
 
Tuna peleka watu wetu kufanya nini huko?
In 1960s kabla ya Tanzania Military Academy kujengwa, higher training kijeshi walienda Egypt na kwingineko.

Sasa, hebu tupe mwongozo ukiambatana na ushahidi wa nini kinaeapeleka wanajeshi wetu huko, ikiwa higher military training karibia nchi zote za kusini mwa jangwa la Sahara, hutumia Tanzania Military Academy.
Israel na China nk Huwa mnawapeleka kufanya nini? Unataka ushahidi upi zaidi ya kujibu hili swali?
 
Sababu we want more from our government. Sio kama huko kwenu hamwezi thubutu kuconfront your leaders.
Our leaders are performing to our expectation hatufi njaa, vijana wanapewa mashamba bure mikopo na mafunzo ya ujasiriamali what more do you need?
 
Back
Top Bottom