Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ACK plaza deep in Bondo town.....devolution has really opened up towns
FB_IMG_1686684320401.jpg
 
Lazima kuwepo na kipimo Cha kufanya vizuri ambacho kimekubalika duniani, ufanisi wa bandari unatokana na uwezo wa bandari kuhudumia Meli kwa haraka ifikapo bandarini(Waiting time).

Kiwango kinachotakiwa kimataifa Cha muda wa kusubiri meli kabla ya kuingizwa bandarini(waiting time) ni siku Moja na nusu(1.5), sisi hapa Dar port (waiting time)ni siku 5. Muda unaotakiwa wa Meli kushusha mzigo (off loading time) ni siku Moja, sisi hapa kwetu ni siku 3, Sasa mkuu tutawezaje kupambana?.
Sababu ya ucheleweshwaji ni uzembe ambao unatokana na mazoea. Ukiwaminya wanaosababisha hayo, mambo yatabadilika bila ya kuhitaji wageni kutusaidia. Hakuna cha standard ya kimataifa wala nini, sheria kali itanyoosha kila kitu. Haya mambo ya kulaza akili kwa kuazima wageni kuja kutufanyia mambo yetu badala ya sisi wenyewe, itafika mahala tutaazima hadi wanaume waje kututungia mimba wanawake zetu.
 
DP World hiyo bandari nafikiri wamekabidhiwa kwa mkataba upi? nijuavyo ni ubia. Niambie wewe, ni kwa mkataba upi, msiishie tu wamekabidhiwa huku, huko. Hakuna mtu anawapinga DP World, watu wanapinga aina ya mkataba.
Sasa unaanza kuelewa, bunge juzi lilitoa maelekezo ambayo yatasaidia TPA na Wizara husika kuingia mkataba rasmi na DPW. Subiri tutaelezwa maeneo gani na kwa muda gani hawa jamaa watakabidhiwa.
 
Sababu ya ucheleweshwaji ni uzembe ambao unatokana na mazoea. Ukiwaminya wanaosababisha hayo, mambo yatabadilika bila ya kuhitaji wageni kutusaidia. Hakuna cha standard ya kimataifa wala nini, sheria kali itanyoosha kila kitu. Haya mambo ya kulaza akili kwa kuazima wageni kuja kutufanyia mambo yetu badala ya sisi wenyewe, itafika mahala tutaazima hadi wanaume waje kututungia mimba wanawake zetu.
Kwahiyo unataka kuendesha bandari vile utakavyo wewe, sio vile watakavyo wateja wa hiyo bandari?.

Wamiliki wa Meli wanalalamika kwamba bado bandari yetu haijafikia viwango vinavyohitajika kutokana na kutumia vifaa vya kizamani, wewe hutaki unang'ang'ana na kubanana na watu hao hao ambao hawana utalaamu, itabidi bandari yako uitumie kuvulia samaki, hakuna Meli zitakazo tumia bandari yako.

mkuu hujui biashara, tujadili kwanini Yanga na Simba zinafundishwa na wageni na watu hawalalamiki?, ila serikali ikiwapa wageni kazi za kuendesha miradi tunalalamika, inawezekana huko Ukatoa msaada mzuri zaidi.
 
Sababu ya ucheleweshwaji ni uzembe ambao unatokana na mazoea. Ukiwaminya wanaosababisha hayo, mambo yatabadilika bila ya kuhitaji wageni kutusaidia. Hakuna cha standard ya kimataifa wala nini, sheria kali itanyoosha kila kitu. Haya mambo ya kulaza akili kwa kuazima wageni kuja kutufanyia mambo yetu badala ya sisi wenyewe, itafika mahala tutaazima hadi wanaume waje kututungia mimba wanawake zetu.
Uzalendo usio na tija ni sawa na zero tu. Kwa mantinki yako ni kwamba hata viwanda tulikosea kuwapa private sector au siyo? Hiyo TBL na viwanda vingine unavyoviona leo vinazalisha bidhaa bila mgogoro ni kwa sababu ya private sector ukivirudisha hivyo viwanda viendeshwe na umma hata mshahara wa kulipa wafanyakazi utakuwa kizungumkuti.

Tukubali ukweli tu kwamba serikali ilishajitoa katika kufanya biashara. Na biashara yoyote ili ifanye vizuri huwa haihitaji urasimu wa kisiasa au wafanyakazi ambayo hayo ndio yamejaa kwenye hayo mashirika ya umma. Hata ufanyeje ndugu yangu urasimu hauwezi kuisha kwenye taasisi za umma na serikalini kwa ujumla. Haya mashirika ni ya kibiashara hivyo issue kubwa hapa ni kutengeneza faida kwa nchi hata yakiendeshwa na private sector either local or international.

KINACHOTAKIWA HAPA NI MAKUBALIANO (MIKATABA) AMBAYO NI WIN-WIN KWA SERIKALI/NCHI NA PRIVATE SEKTA. NA HICHO NDICHO WANANCHI WENGI WAELEWA WA HAYA MAMBO WANACHOKILILIA NA SIYO KUPINGA UWEKEZAJI WENYE TIJA.
 
Uzalendo usio na tija ni sawa na zero tu. Kwa mantinki yako ni kwamba hata viwanda tulikosea kuwapa private sector au siyo? Hiyo TBL na viwanda vingine unavyoviona leo vinazalisha bidhaa bila mgogoro ni kwa sababu ya private sector ukivirudisha hivyo viwanda viendeshwe na umma hata mshahara wa kulipa wafanyakazi utakuwa kizungumkuti.

Tukubali ukweli tu kwamba serikali ilishajitoa katika kufanya biashara. Na biashara yoyote ili ifanye vizuri huwa haihitaji urasimu wa kisiasa au wafanyakazi ambayo hayo ndio yamejaa kwenye hayo mashirika ya umma. Hata ufanyeje ndugu yangu urasimu hauwezi kuisha kwenye taasisi za umma na serikalini kwa ujumla. Haya mashirika ni ya kibiashara hivyo issue kubwa hapa ni kutengeneza faida kwa nchi hata yakiendeshwa na private sector either local or international.

KINACHOTAKIWA HAPA NI MAKUBALIANO (MIKATABA) AMBAYO NI WIN-WIN KWA SERIKALI/NCHI NA PRIVATE SEKTA. NA HICHO NDICHO WANANCHI WENGI WAELEWA WA HAYA MAMBO WANACHOKILILIA NA SIYO KUPINGA UWEKEZAJI WENYE TIJA.
Wengi wa watanzania wanaopinga ubia na private sector wanaogopa kukosa ajira, wanajijua kwamba hawana uwezo wa kupambana katika usimamizi wa "private sector", wanataka kuendelea kufanya kazi kwa kujuana na mazoe Kama ilivyo serikalini, hawana sababu ingine zaidi ya kuogopa kupoteza ajira na kupoteza uzembe wao walionao.
 
If a honest American tells them as it is...


Washamwambia Sana huyu mmarekani wako kuwa ana utoto mwingi....

Nimekuwa nikisoma comments nyingi kwenye channel yake....
Watu wengi wanamwambia kuwa he needs to grow up...



kajitu kametoka huko kalikotoka kanafikia mwananyamala kanakaa week Tatu halafu kanaconclude kila kitu kuhusu Tanzania....kama sio upumbavu ni nini mkuu....



Halafu hii tabia ya kuamini na kuabudu kila wasemacho foreigners hata wapumbavu kuhusu jamii au nchi muache....


Vip tamasha lenu
1686681583113.jpg
 
Hapo unauliza swali au unauliza jibu? Mali ya Umma ni shamba la bibi ukijifanya unakaza unaondoka wewe ndio maana best practice ni kuwapa private sector Huwa hawatazami sura Wala jina la mtoto wa kigogo..

Mwisho miaka 60 ya Uhuru hakuna Cha maana kimefangika hapo Bandarini.

Kwanza Bandari imekuwa inatumika kama Chimbo la watu kuvunia ndio maana licha ya kujaza Tiss sijui wanajeshi wote njaa tuu .
Leo kidogo umeongea pointi
 
Wizi wa bandari hauwezi kuisha mzee kama sisi wenyewe bado tupo pale, hata wewe mwenyewe ukipewa kitengo pale kesho baada ya wiki tu unaanza kupiga. Mizizi ya upigaji bandarini no mirefu sana!

Kama unaona nadangaya wewe hebu fikiria kwa nini watu wenye pesa mpaka leo ni vijana wa TPA na TRA tu!!

Kwa mfano wanongelea mifumo, unafikiri hakuna vijana wanaweza kijenga hiyo mifumo, au kununua?? Ishu ni kwamba watu hawataki, maana upigaji wao utapungua!!
Mmm mwenyewe nikiingia humo lazima nipige tuu hamna jinsi kwasababu viongozi wetu wa juu hawapo serious na maendleo na kutomeza ufisadi
 
Back
Top Bottom