ingekuwa tz unapata uswazi slums kando ya tower..heheheGreen nets everywhere in parklands
View attachment 2656221
You'll find a high-rise construction at every corner in most parts of Nairobi especially kilimani, eastleigh, south-C and parklands
ingekuwa tz unapata uswazi slums kando ya tower..heheheGreen nets everywhere in parklands
View attachment 2656221
You'll find a high-rise construction at every corner in most parts of Nairobi especially kilimani, eastleigh, south-C and parklands
Wacha kuongea kama unaliwa we kichaa.. 95% of these high rise buildings ni residential 👇You'll be lucky to find a single true high-rise apartment in all of Tanzania.
The extremely few tall buildings they have are all offices or 2-star hotels.
Eastleigh has more high-rise residential buildings than all of Dar.
Visiting the country feels like you've time travelled to Kenya in 1990s.
Pitia Hii 👇ingekuwa tz unapata uswazi slums kando ya tower..hehehe
Wacha kuongea kama unaliwa we kichaa.. 95% of these high rise buildings ni residential 👇View attachment 2656273..unaongea mpaka unanuka mdomo with no facts 🤣🤣
Funny thing Ni kwamba biggest slums in the Africa ni kibera na Mathare .Tz haipo kwenye list .ingekuwa tz unapata uswazi slums kando ya tower..hehehe
hujui kama Tanzania ni ya kijani . Ukivuka Nairobi Ni sahara desert tu huko kulikobakia
leta picha ya masarbit ,turkana,wajir hapa tucheke 
Dodoma 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hamna lolote tunajitengenezea na tunatengenezewa mazingira ya kuonekana hatuwezi ili wafanye ufisadi wao.Kwa hiyo yani sisi tumeshindwa kukaripiana na kuwajibishana sisi Kwa sisi au mama hataki lawama za kuonekana anwaendesha watz
Sasa jitu kama lizembe si linaburutwa na kama vipi Lina wekwa kando
Au dp world wakija wanafukuzaa wafanyakazi wote hapo bandarini
Hapa inaonekana mfumo wetu wakielimu umekaa kibiashara sana na sio kutoa wajuvi yaani mtu unaweza kuwa gpa Kali alafu maajabu zero
Mkuu, huko Uingereza ambako pia DPW wamekabidhiwa bandari kuziendesha, pia mfumo wao wa elimu sio mzuri?. Watu Kama ninyi wenye kupenda Kulalamika bila sababu za msingi ndio tatizo kubwa la Afrika.
Ndo maana sikuongelea uwezo mzee, nimeongelea performance! Sio kila mzungu ana uwezo mkubwa! Wengine ni maburura tu! As a matter of fact Wengi wao ni maburura tu!Sio underperformers.. ni mfumo wa kuleana hovyohovyo na mambo ya kisiasa. Mf, Dr Matarajio wametoa TPDC.. lkn huyo akipata kitengo nje ana uwezo wa kuleta mafanikio makubwa sana. Wenzetu wanaangalia professionalism, huku tumejaa siasa tu na upigaji.. kila Rais ana mtu wake imrad tu apate vimrija vya kupiga yey na wenzake.
Kwenye hio 80% bila shaka na mim nipo.. lkn naona hata hao wazungu mnaowaleta nimewazidi uwezo
Wizi wa bandari hauwezi kuisha mzee kama sisi wenyewe bado tupo pale, hata wewe mwenyewe ukipewa kitengo pale kesho baada ya wiki tu unaanza kupiga. Mizizi ya upigaji bandarini no mirefu sana!Hii yote ni ufisadi tuu ndo unatuponza mpaka kuwapa kampuni ya nje bandari mama kashindwa kushughulikia ufisadi ni wapewe tu hao dp world kidogo kutakua na afadhalii
Hata mimi nimekaa sana na watu wa aina mbalimbali (wazungu waarabu nk.) Duniani kote, watu wenye akili ni wachache sana haijalishi race ya mtu.Kwahio kisa Balozi Slaa kapendekeza ndo umeona ni wazo zuri?
Wanipe hata mim.. kuimanage TPA ni simple tu. Na sijui kwanin mnapenda kuwahusu watu wa nje na kujiunderestimate sisi wenyew.
Kiufupi, sisi tunafeli kwenye kuingiza siasa kwenye professionalism za watu. Ona sasa mbobezi Dr Matarajio katolewa TPDC, kawekwa sijui mtu gan. Pia tatizo lililopo kila kiongozi anawaza kupiga, kwasababu anajua kuna namna atalindwa
Mim hizi taasis zetu wangefanya haya yafuatayo tungepiga hatua parefu bila kushirikisha wazungu
1. Wakurugenzi wakuu au tuseme top leader wa taasis yeyote wapewe mkataba wa miaka 3.. 'renewable' kwa vipindi hata tano au zaid(yan yule mzuri aendelee kukaa hapo mda mrefu)
2. Yeyote atakapatikana na rushwa au ufisadi, taifisha mali zake zote, tusioneane huruma hata kama ni ndugu yako.. pia hata wakificha.. kbl ya kushika madaraka, andikisha mali hata za ndugu wawili, ndugu yao akifanya madudu hata mali zao zitaifishwe..
3. Tusioneane huruma hata kama kupitia huyo MD, wew una kamrija unapata.
4. Na mengineyo
Tukifanya hiv tutafika mbal bila hata hao wazungu mnaowahusu wakat elimu yao ndo hiohio tuliyonayo
Mim sikuzote ni mmojawapo ninaoamin hawa wazungu hawana kitu kutuzidi, nimeishi nao, nimesoma nao, nimekaa nao. Nashangaaga sana nikiona sehem mgeni mzungu anahusudiwa, wakat mwingine unakuta ni kilaza wa mwisho huko alikotoka, ila akija huku mnamnyenyekea. Dah, huzuni
Wacha kuongea kama unaliwa we kichaa.. 95% of these high rise buildings ni residential 👇View attachment 2656273..unaongea mpaka unanuka mdomo with no facts 🤣🤣
Kwa sheria kali kiukweli kwa taifa tulilinalo na uongozi wa kisenge ni uongo kuzitekeleza at least tumpe huyo DP world tuone ufanisi wake .. tena ikibidi shughuli karibu zote za bandari ziwe automatic .. tuanze nasisi ku operate automation ports kama huko ulimwenguni wanavyofanya.. wezi wote watapotea plus ufanisi wa bandari utaongezeka mara dufuWizi wa bandari hauwezi kuisha mzee kama sisi wenyewe bado tupo pale, hata wewe mwenyewe ukipewa kitengo pale kesho baada ya wiki tu unaanza kupiga. Mizizi ya upigaji bandarini no mirefu sana!
Kama unaona nadangaya wewe hebu fikiria kwa nini watu wenye pesa mpaka leo ni vijana wa TPA na TRA tu!!
Kwa mfano wanongelea mifumo, unafikiri hakuna vijana wanaweza kijenga hiyo mifumo, au kununua?? Ishu ni kwamba watu hawataki, maana upigaji waonutapungua!!
Unabadlisha mada.? 🤣🤣 Usisahau hapo hakuna gorofa za udongo mzee .. na zote Kati ya hizo buildings are between 10-20 floors. Na ni gorofa za maanaRoysambu has more highrises than this.
😂 😂🤣 Nimetembea Tanzania mimi. I know what I've seen.Unabadlisha mada.? 🤣🤣 Usisahau hapo hakuna gorofa za udongo mzee .. na zote Kati ya hizo buildings are between 10-20 floors. Na ni gorofa za maana
Eistleigh ni slum tayari haina tofauti na pipeline, haina land bank, haina green spaces, haina paved streets, haina functional garbage collector, haina proper sewage and storm water management, haijulikani ni residential or shopping center, haina playing grounds, sio safe for kids and people with special needs, haina order, the next vertical kibera in the forgingYou'll be lucky to find a single true high-rise apartment in all of Tanzania.
The extremely few tall buildings they have are all offices or 2-star hotels.
Eastleigh has more high-rise residential buildings than all of Dar.
Visiting the country feels like you've time travelled to Kenya in 1990s.
Mpka leo kimya mzee .Hivi ile plan ya Anheuser-Busch InBev kujenga Brewery Dodoma ilifia wapi?
![]()
AB InBev targets fast-growing Tanzania with $100 million brewery
Anheuser-Busch InBev, the world's largest brewer, plans to invest $100 million in a new brewery in Tanzania, where beer volumes jumped by a fifth last year, pointing to potential pressure on capacity, it said on Tuesday.www.reuters.com
Au ilikuwa changa la macho kwa mwendazake?