muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,852
Wewe mzee vipi? Mbona kichwa kigumu kuekewa?? Kila kitu kiko wazi. Sema inaonekana wazi kabisa uwezo wako wa kuchambua Mambo ni mdogo mzee!Hakuna uwazi, unajuwa kilichosainiwa MOU feb 28 2022, kwenye Dubai expo? Unajua kilichosainiwa Oct '22 na serikali. Mbona walikaa kimya hawakutueleza kuhusu DP World mpaka taarifa zilipovuja ndo wanajibaraguza kujidai kutaka kujadiliwa bungeni.
Umenisikitisha sana! Mtu gani kila unavyoeleweshwa wewe unajifanya hamnazo!!!