Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upperhill Nairobi
Screenshot_2023-06-12-18-34-09-25_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-12-18-35-04-03_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-12-18-35-38-26_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-12-18-40-07-06_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-12-18-37-02-57_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-12-18-42-10-58_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
 
Kwan sport pesa ni ya kenya ?? 😅😅😅 au kila kizuri duniani ni chenu
Sportpesa ilianza Kenya, unafikiri hilo neno pesa ni la wapi. Sa hii imekua global brand ndo maana wana register Kama kampuni tofauti katika kila nchi wanahudumu. Ingia kwa website yao joto la jiwe
 
Sportpesa ilianza Kenya, unafikiri hilo neno pesa ni la wapi. Sa hii imekua global brand ndo maana wana register Kama kampuni tofauti katika kila nchi wanahudumu. Ingia kwa website yao joto la jiwe
Sport pesa ni kampuni kutoka uk na HQ yake iko liverpool mbuzi wewe na wawekezaji wakubwa wa sport pesa ni waingereza kenge wewe na imewekeza nchi nyingi sana mpaka south africa wapo kenya na tanzNia also😅😅😅😅😅
 
Kwahio kisa Balozi Slaa kapendekeza ndo umeona ni wazo zuri?

Wanipe hata mim.. kuimanage TPA ni simple tu. Na sijui kwanin mnapenda kuwahusu watu wa nje na kujiunderestimate sisi wenyew.
Kiufupi, sisi tunafeli kwenye kuingiza siasa kwenye professionalism za watu. Ona sasa mbobezi Dr Matarajio katolewa TPDC, kawekwa sijui mtu gan. Pia tatizo lililopo kila kiongozi anawaza kupiga, kwasababu anajua kuna namna atalindwa

Mim hizi taasis zetu wangefanya haya yafuatayo tungepiga hatua parefu bila kushirikisha wazungu
1. Wakurugenzi wakuu au tuseme top leader wa taasis yeyote wapewe mkataba wa miaka 3.. 'renewable' kwa vipindi hata tano au zaid(yan yule mzuri aendelee kukaa hapo mda mrefu)
2. Yeyote atakapatikana na rushwa au ufisadi, taifisha mali zake zote, tusioneane huruma hata kama ni ndugu yako.. pia hata wakificha.. kbl ya kushika madaraka, andikisha mali hata za ndugu wawili, ndugu yao akifanya madudu hata mali zao zitaifishwe..
3. Tusioneane huruma hata kama kupitia huyo MD, wew una kamrija unapata.
4. Na mengineyo

Tukifanya hiv tutafika mbal bila hata hao wazungu mnaowahusu wakat elimu yao ndo hiohio tuliyonayo

Mim sikuzote ni mmojawapo ninaoamin hawa wazungu hawana kitu kutuzidi, nimeishi nao, nimesoma nao, nimekaa nao. Nashangaaga sana nikiona sehem mgeni mzungu anahusudiwa, wakat mwingine unakuta ni kilaza wa mwisho huko alikotoka, ila akija huku mnamnyenyekea. Dah, huzuni
Mkuu, kwani tatizo ni management pekee?.
1)Mtaji
2)Utaalamu
3)Network
5)Experience

Hawa DPW wanamiliki zaidi ya Meli 500 za mizigo zikizunguka Dunia nzima kufanya biashara, Wana mtandao mkubwa Sana wa biashara.

Mkuu, hivi mbona hujiulizi inakuaje team zetu za mipira barani Afrika zinafundishwa na wageni?.

Mkuu, hapa Tanzania wafanyabiashara wakubwa 10, unaweza kukuta sisi waswahili ni wawili au mmoja. Afrika Migodi yote mikubwa na miradi yote mikubwa ya Ujenzi inaendeshwa na wageni, Why?.

Leo hii waafrika wakishindwa kutibiwa Afrika wanaenda kutibiwa hukohuko, hasa viongozi. Wasomi wetu bila kwenda kupata Elimu nje ya Afrika, bado wanaonekana hawajasoma vizuri, mashine na mitambo yote inatoka nje.

Mkuu tuache kujitutumua na kujipiga kifua, kwasasa Afrika bado sana, lazima tuweke juhudi za makusudi tuweze kujitegemea ktk technology na kujisimamia, lakini kwasasa tusijidanganye.
 
Sport pesa ni kampuni kutoka uk na HQ yake iko liverpool mbuzi wewe na wawekezaji wakubwa wa sport pesa ni waingereza kenge wewe na imewekeza nchi nyingi sana mpaka south africa wapo kenya na tanzNia also😅😅😅😅😅
Guardian newspaper kutoka England, link pia ndo hii nakupa. Hio ni sportpesa UK Kama vile kuna sportpesa Tanzania. Parent kampani ilianza kenya na franchise imeuzwa nchi sita. How gambling giant SportPesa made waves in Africa – and Premier League
 
Sportpesa ilianza Kenya, unafikiri hilo neno pesa ni la wapi. Sa hii imekua global brand ndo maana wana register Kama kampuni tofauti katika kila nchi wanahudumu. Ingia kwa website yao joto la jiwe
Peleka upumbavu wako mbali, tangu lini neno pesa likawa la Kenya msenge wewe.
 
Watanzania sisi 80% ya work force ni underperformers! Sio serikali wala sekta binafsi!!
Hali ya utendaji wa kazi na kupata desired results ni ngumu sana nchi hii!
Kusema ukweli kwa muda mrefu nimekuwa nikiwaza juu ya serikali kushirikiana na private sector kwenye ku-run/ku-manage baadhi ya mashirika na taasisi za umma ili kuleta ufanisi in a win-win situation. Kwa hiyo kwangu mimi Kuwapa DP-World kumanage shughuli za bandari zetu (as long as they have a good proved record in the sector) sio jambo baya wala jipya ila tatizo la sisi watz na waafrika kwa ujumla ni mikataba ya hovyo na ya kinyonyaji ambayo nchi zetu zinaingia na hawa private sector tena wengine ni incompetent kabisa/wababaishaji.

Natamani kuona mashirika ya umma kama DART, TRC, Tanesco, na mengineyo yakiingia ubia (partnership) na private sector kwenye ku-run/ku-manage the business part ya hayo mashirika in a win-win situation. Serikali ilishaacha kufanya biashara na pale serikali inapolazimisha kufanya biashara hzi taasisi au mashirika mara nyingi kama si zote huwa ni hasara tu au faida kiduchu sana. PPP ikiwekewa utaratibu mzuri mi naona ndio njia pekee ya mashirika na taasisi zetu zinazofanya biashara zinaweza kukua na kuchangia vizuri kwenye pato la taifa otherwise kila siku tuatakuawa tunaona madudu tu kwenye riport ya CAG.
 
Guardian newspaper kutoka England, link pia ndo hii nakupa. Hio ni sportpesa UK Kama vile kuna sportpesa Tanzania. Parent kampani ilianza kenya na franchise imeuzwa nchi sita. How gambling giant SportPesa made waves in Africa – and Premier League
Na ndio maana nakwambia sport pesa imewekeza mpaka south africa kenya na tanzania pia usiniambie sport pesa ni ya kenya wakat ni kampuni kutoka nje iliofanya investments nchi za africa 😁😁😁

Usilazmishe mali ya watu kua yenu na hii tabia kama hamutoacha lazma technology itawaumbua ndio maana kila siku munaumbuka kwa ujinga tu
 
Sportpesa ilianza Kenya, unafikiri hilo neno pesa ni la wapi. Sa hii imekua global brand ndo maana wana register Kama kampuni tofauti katika kila nchi wanahudumu. Ingia kwa website yao joto la jiwe
Eti hilo neno "pesa" la wapi

Mungu wangu! Naishia hapo hapo!

Wakenya tunaopigishana nao humu ndani IQ yao no ndogo sana. Yani mpaka najisikia kuachana na huu uzi.
 
Back
Top Bottom