joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Lazima kuwepo na kipimo Cha kufanya vizuri ambacho kimekubalika duniani, ufanisi wa bandari unatokana na uwezo wa bandari kuhudumia Meli kwa haraka ifikapo bandarini(Waiting time).Umekomalia Kenya tuu, huoni niliposema tumepata wateja kutoka Zimbabwe, vivi kuhusu 70% ya magari kwenya nje ya nchi?
Kiwango kinachotakiwa kimataifa Cha muda wa kusubiri meli kabla ya kuingizwa bandarini(waiting time) ni siku Moja na nusu(1.5), sisi hapa Dar port (waiting time)ni siku 5. Muda unaotakiwa wa Meli kushusha mzigo (off loading time) ni siku Moja, sisi hapa kwetu ni siku 3, Sasa mkuu tutawezaje kupambana?.
