Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunazungumzia michezo, Kenya hakuna biashara ya "Sports because Kenyans don't have enough disposable incomes". Watu wengi Kenya wana "struggle" kupata basic needs like food, water, shelter and health.
Hehehe.....yanga and simba derbies is the only time you fill your uhuru stadium.
 
Watanzania sisi 80% ya work force ni underperformers! Sio serikali wala sekta binafsi!!
Hali ya utendaji wa kazi na kupata desired results ni ngumu sana nchi hii!
Mimi niko nje na nafanya kazi vizuri na nawajua Watanzania wengi wanapeta huko Majuu tuache professionalism ifanye kazi yake ule ujinga wa kujuana uwekwe pembeni!
 
Umekubali mlijenga taka taka
Hizo zenu ni cowshed pitch ndio maana juzi mlilalamika uwanja wa moi hauendani na gharama zilizojenga yaani mmeshindwa kujenga uwanja mkubwa mzuri mkubwa mnachofanya mnazongusha majengo kwenye open pitch mnaita stadium hakuna creativity kabisa kinoru ,moi , hadi ule wa ulinzi stars muundo ni ule ule
 
Kwa hiyo yani sisi tumeshindwa kukaripiana na kuwajibishana sisi Kwa sisi au mama hataki lawama za kuonekana anwaendesha watz

Sasa jitu kama lizembe si linaburutwa na kama vipi Lina wekwa kando

Au dp world wakija wanafukuzaa wafanyakazi wote hapo bandarini

Hapa inaonekana mfumo wetu wakielimu umekaa kibiashara sana na sio kutoa wajuvi yaani mtu unaweza kuwa gpa Kali alafu maajabu zero
Hapo unauliza swali au unauliza jibu? Mali ya Umma ni shamba la bibi ukijifanya unakaza unaondoka wewe ndio maana best practice ni kuwapa private sector Huwa hawatazami sura Wala jina la mtoto wa kigogo..

Mwisho miaka 60 ya Uhuru hakuna Cha maana kimefangika hapo Bandarini.

Kwanza Bandari imekuwa inatumika kama Chimbo la watu kuvunia ndio maana licha ya kujaza Tiss sijui wanajeshi wote njaa tuu .
 
Hehehe.....yanga and simba derbies is the only time you fill your uhuru stadium.
Mechi za karibuni zilizojaa mwaka 2023

Simba vs wydad

Yanga vs tp mazembe

Simba vs horoya

Yanga vs us monastir

Yanga vs usm algers

List ni ndefu sana

Nipe list ya kwako 2023 mlizojaza uwanja wenu nchini Kenya


Hatujaanza kujaza uwanja juzi since kitambo sana pengine kabla hajazaliwa

Kenya Derby yenu hata uwanja haujai

Kuna kipindi uhunye mmliki wa ardhi ya Kenya kwa kiwango kikubwa aka your landlord alisema muingie free ndio mkajaza
 
Green nets everywhere in parklands
52961141317_92dd4f7259_b.jpg


You'll find a high-rise construction at every corner in most parts of Nairobi especially kilimani, eastleigh, south-C and parklands
 
Kwahio kisa Balozi Slaa kapendekeza ndo umeona ni wazo zuri?

Wanipe hata mim.. kuimanage TPA ni simple tu. Na sijui kwanin mnapenda kuwahusu watu wa nje na kujiunderestimate sisi wenyew.
Kiufupi, sisi tunafeli kwenye kuingiza siasa kwenye professionalism za watu. Ona sasa mbobezi Dr Matarajio katolewa TPDC, kawekwa sijui mtu gan. Pia tatizo lililopo kila kiongozi anawaza kupiga, kwasababu anajua kuna namna atalindwa

Mim hizi taasis zetu wangefanya haya yafuatayo tungepiga hatua parefu bila kushirikisha wazungu
1. Wakurugenzi wakuu au tuseme top leader wa taasis yeyote wapewe mkataba wa miaka 3.. 'renewable' kwa vipindi hata tano au zaid(yan yule mzuri aendelee kukaa hapo mda mrefu)
2. Yeyote atakapatikana na rushwa au ufisadi, taifisha mali zake zote, tusioneane huruma hata kama ni ndugu yako.. pia hata wakificha.. kbl ya kushika madaraka, andikisha mali hata za ndugu wawili, ndugu yao akifanya madudu hata mali zao zitaifishwe..
3. Tusioneane huruma hata kama kupitia huyo MD, wew una kamrija unapata.
4. Na mengineyo

Tukifanya hiv tutafika mbal bila hata hao wazungu mnaowahusu wakat elimu yao ndo hiohio tuliyonayo

Mim sikuzote ni mmojawapo ninaoamin hawa wazungu hawana kitu kutuzidi, nimeishi nao, nimesoma nao, nimekaa nao. Nashangaaga sana nikiona sehem mgeni mzungu anahusudiwa, wakat mwingine unakuta ni kilaza wa mwisho huko alikotoka, ila akija huku mnamnyenyekea. Dah, huzuni

Aisee... Umegusa mulemule.
 
Green nets everywhere in parklands
View attachment 2656221

You'll find a high-rise construction at every corner in most parts of Nairobi especially kilimani, eastleigh, south-C and parklands

You'll be lucky to find a single true high-rise apartment in all of Tanzania.
The extremely few tall buildings they have are all offices or 2-star hotels.

Eastleigh has more high-rise residential buildings than all of Dar.

Visiting the country feels like you've time travelled to Kenya in 1990s.
 
Kwahio kisa Balozi Slaa kapendekeza ndo umeona ni wazo zuri?

Wanipe hata mim.. kuimanage TPA ni simple tu. Na sijui kwanin mnapenda kuwahusu watu wa nje na kujiunderestimate sisi wenyew.
Kiufupi, sisi tunafeli kwenye kuingiza siasa kwenye professionalism za watu. Ona sasa mbobezi Dr Matarajio katolewa TPDC, kawekwa sijui mtu gan. Pia tatizo lililopo kila kiongozi anawaza kupiga, kwasababu anajua kuna namna atalindwa

Mim hizi taasis zetu wangefanya haya yafuatayo tungepiga hatua parefu bila kushirikisha wazungu
1. Wakurugenzi wakuu au tuseme top leader wa taasis yeyote wapewe mkataba wa miaka 3.. 'renewable' kwa vipindi hata tano au zaid(yan yule mzuri aendelee kukaa hapo mda mrefu)
2. Yeyote atakapatikana na rushwa au ufisadi, taifisha mali zake zote, tusioneane huruma hata kama ni ndugu yako.. pia hata wakificha.. kbl ya kushika madaraka, andikisha mali hata za ndugu wawili, ndugu yao akifanya madudu hata mali zao zitaifishwe..
3. Tusioneane huruma hata kama kupitia huyo MD, wew una kamrija unapata.
4. Na mengineyo

Tukifanya hiv tutafika mbal bila hata hao wazungu mnaowahusu wakat elimu yao ndo hiohio tuliyonayo

Mim sikuzote ni mmojawapo ninaoamin hawa wazungu hawana kitu kutuzidi, nimeishi nao, nimesoma nao, nimekaa nao. Nashangaaga sana nikiona sehem mgeni mzungu anahusudiwa, wakat mwingine unakuta ni kilaza wa mwisho huko alikotoka, ila akija huku mnamnyenyekea. Dah, huzuni
Hii yote ni ufisadi tuu ndo unatuponza mpaka kuwapa kampuni ya nje bandari mama kashindwa kushughulikia ufisadi ni wapewe tu hao dp world kidogo kutakua na afadhalii
 
Back
Top Bottom